Tathmini ya robo ya kwanza ya Mwaka, CHADEMA yaongoza

Tathmini ya robo ya kwanza ya Mwaka, CHADEMA yaongoza

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,412
Reaction score
283,609
FB_IMG_1677688856429.jpg
FB_IMG_1679470061033.jpg
Wadau wa Siasa Duniani wanakitaja Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kama chama cha siasa Maarufu zaidi Nchini Tanzania katika robo ya Kwanza ya mwaka, Chadema inatajwa Dunia nzima kama chama cha siasa kinachoongoza harakati zote nchini Tanzania, ikiwemo harakati "Tukufu" ya Mapambano ya Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi, ambacho ndio kilio kikuu cha Watanzania.

Taarifa zingine zinadai kwamba Ujio wa Tundu Lissu na Godbless Lema, pamoja na kishindo cha Mikutano Kabambe ya hadhara iliyopangwa Kisomi na kuvurumishwa kwenye kanda kadhaa imekifanya chama hicho kujizolea umaarufu mkubwa, si tu Tanzania bali Dunia nzima.

Hata hivyo Taarifa kutoka ndani ya Chama hicho inaeleza kwamba kuanzia mwisho wa mwezi huu ndio kinaanza rasmi kufanya mikutano ya hadhara Nchi nzima na kwamba ile mliokuwa mnaiona huko Kanda ya Nyasa ilikuwa "FAGIA UWANJA TU" Mliokuwa mnaangalia sinema zamani mtanielewa kwamba kabla ya picha yenyewe kuanza , mlionyeshwa vipande fulani vilivyoitwa "Trela" ili kuwashawishi mlipe kiingilio kabla ya picha lenyewe kuanza .

Mungu Ibariki Chadema.

Mwisho, lakini si kwa Umuhimu, Nawashukuru Wana JF wote wa Jukwaa hili kwa kuniamini .
 
Pamoja sana, pia wana kijani,wana Act Bara na visiwani, wana TLP, Wana CUFBara na visiwani, wana UDP, wan NRA,Wanachauma, wanaNLD wowote karibuni mjivue magamba,hamieni CHADEMA, chama cha maendeleo na demokrasia (muda wa janja janja umekwisha, tupambane maendeleo ya kweli ya taifa letu) wanakijani walisha feli na wamejipatia tamaa hawawezi kutuvusha tena kamwe🤔
 
Mtoa mada umepata vote yangu, huu uliousema ndio ukweli mtupu, binadamu always wanachukia kuambiwa ukweli, usikate tamaa za kutuletea mada kama hizi
Pamoja na ushindi lakini baadhi ya Wadau wamenishambulia mno kwamba sikustahili na kwamba nimependelewa , lakini nawashukuru wote kwa ujumla wao.

Hata hivyo naahidi taarifa kemkem za kweli sana na za haraka sana kwenye Jukwaa hili kwa mwaka huu.
 
Pamoja na ushindi lakini baadhi ya Wadau wamenishambulia mno kwamba sikustahili na kwamba nimependelewa , lakini nawashukuru wote kwa ujumla wao .

Hata hivyo naahidi taarifa kemkem za kweli sana na za haraka sana kwenye Jukwaa hili kwa mwaka huu
Kama uliweza kuwaripotia Watanzania ile kesi mchongo kwa kiasi kikubwa na kwa wakati pamoja na wapambanaji wengine kwa kupeana nafasi, watanzania watarajie habari bora zaidi hasa wakati huu Mbinyo wa habari umepungua kwa kujibu wa mimi angalau kwa asilimia 60% hivi
 
Kama uliweza kuwaripotia Watanzania ile kesi mchongo kwa kiasi kikubwa na kwa wakati pamoja na wapambanaji wengine kwa kupeana nafasi, watanzania watarajie habari bora zaidi hasa wakati huu Mbinyo wa habari umepungua kwa kujibu wa mimi angalau kwa asilimia 60% hivi
Hakika, mimi nitaweka kambi kwenye jukwaa hili kwa Taarifa zote za Uhakika, nilifikiria kujiondoa JF kwa mwaka huu lakini, mwanasheria wangu ameniomba nibaki mpaka itakapopatikana Katiba mpya.
 
View attachment 2565224View attachment 2565225

Wadau wa Siasa Duniani wanakitaja Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kama chama cha siasa Maarufu zaidi Nchini Tanzania katika robo ya Kwanza ya mwaka , Chadema inatajwa Dunia nzima kama chama cha siasa kinachoongoza harakati zote nchini Tanzania , ikiwemo harakati "Tukufu" ya Mapambano ya Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi , ambacho ndio kilio kikuu cha Watanzania .

Taarifa zingine zinadai kwamba Ujio wa Tundu Lissu na Godbless Lema , pamoja na kishindo cha Mikutano Kabambe ya hadhara iliyopangwa Kisomi na kuvurumishwa kwenye kanda kadhaa imekifanya chama hicho kujizolea umaarufu mkubwa , si tu Tanzania bali Dunia nzima .

Hata hivyo Taarifa kutoka ndani ya Chama hicho inaeleza kwamba kuanzia mwisho wa mwezi huu ndio kinaanza rasmi kufanya mikutano ya hadhara Nchi nzima na kwamba ile mliokuwa mnaiona huko Kanda ya Nyasa ilikuwa "FAGIA UWANJA TU" Mliokuwa mnaangalia sinema zamani mtanielewa kwamba kabla ya picha yenyewe kuanza , mlionyeshwa vipande fulani vilivyoitwa " Trela " ili kuwashawishi mlipe kiingilio kabla ya picha lenyewe kuanza .

Mungu Ibariki Chadema .

Mwisho , lakini si kwa Umuhimu , Nawashukuru Wana JF wote wa Jukwaa hili kwa kuniamini .
M/mungu ibariki chadema, wabariki viongozi wote na wabariki watu woote wanaoitakia mema chadema, pia wabariki wanachama wake woote na wale wote wanaoipigania katiba mpya ambayo itakuwa mwarobaini wa matatizo ya nchi hii.... Ameeen

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Chadema hiihii ya kina Lema au kuna nyingine??? Kuna mtu kweli Saivi anapoteza muda kufatilia chadema???

Pale juu unakutana na Honey Badger hana habari na chadema ameunga juhudi kimyakimya.

Unamkuta Lisu anadai madeni yake, hana hoja yoyote ya kitaifa

Unamkuta Lema anatetea ushoga ili aendelee kulelewa familia ughaibuni.

Najaribu kufikiri unafatilia chadema ili unufaike na nini wakati wahusika wenyewe hawana habari na chadema tena
 
Chadema hiihii ya kina Lema au kuna nyingine??? Kuna mtu kweli Saivi anapoteza muda kufatilia chadema???

Pale juu unakutana na Honey Badger hana habari na chadema ameunga juhudi kimyakimya.

Unamkuta Lisu anadai madeni yake, hana hoja yoyote ya kitaifa

Unamkuta Lema anatetea ushoga ili aendelee kulelewa familia ughaibuni.

Najaribu kufikiri unafatilia chadema ili unufaike na nini wakati wahusika wenyewe hawana habari na chadema tena
sasa unalia nini ?
 
View attachment 2565224View attachment 2565225

Wadau wa Siasa Duniani wanakitaja Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kama chama cha siasa Maarufu zaidi Nchini Tanzania katika robo ya Kwanza ya mwaka , Chadema inatajwa Dunia nzima kama chama cha siasa kinachoongoza harakati zote nchini Tanzania , ikiwemo harakati "Tukufu" ya Mapambano ya Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi , ambacho ndio kilio kikuu cha Watanzania .

Taarifa zingine zinadai kwamba Ujio wa Tundu Lissu na Godbless Lema , pamoja na kishindo cha Mikutano Kabambe ya hadhara iliyopangwa Kisomi na kuvurumishwa kwenye kanda kadhaa imekifanya chama hicho kujizolea umaarufu mkubwa , si tu Tanzania bali Dunia nzima .

Hata hivyo Taarifa kutoka ndani ya Chama hicho inaeleza kwamba kuanzia mwisho wa mwezi huu ndio kinaanza rasmi kufanya mikutano ya hadhara Nchi nzima na kwamba ile mliokuwa mnaiona huko Kanda ya Nyasa ilikuwa "FAGIA UWANJA TU" Mliokuwa mnaangalia sinema zamani mtanielewa kwamba kabla ya picha yenyewe kuanza , mlionyeshwa vipande fulani vilivyoitwa " Trela " ili kuwashawishi mlipe kiingilio kabla ya picha lenyewe kuanza .

Mungu Ibariki Chadema .

Mwisho , lakini si kwa Umuhimu , Nawashukuru Wana JF wote wa Jukwaa hili kwa kuniamini .
Ahsanteni sana kwa kutuhabarisha kamanda.
 
Back
Top Bottom