Tathmini ya mapato ya kilimo cha michungwa 1000 baada ya miaka 3

Habari wana jf mm ni kijana ambae nimekua nikifuatilia mishe mishe za mjini ambazo nikifanya naweza kutoka kimaisha mara moja nimekagua kila aina ya dili za hapa mjini na vilimo huko vijijini ila mwisho nimegundua kua kilimo cha michungwa kinalipa sana.

Hizi ni baadhi ya dondoo nilizozikusanya baada ya tathmini ya mapato kwa kupanda michungwa 1000 baada ya miaka 3

kila mchungwa baada ya miaka mitatu itazaa machungwa 4000
hivyo 4000 machungwa*1000 michungwa = 4,000,000 machungwa
jinsi ya quality ya chungwa katika kipindi cha mavuno sokoni linasimama 120 tsh kwa sasa baada ya miaka mitatu makadirio ni 150 150tsh
hivyo 150tsh *4,000,000 machungwa= 600,000,000/= tsh na ni misimu miwili kwa mwaka 600,000,000 * 2 = 1,200,000,000.

Nukuu
(a)Hii ni aina ya michungwa ambayo watu wengi hawaifahamu na kwa kiwango cha chini hapa tanzania katika mkoa wa pwani inazaa machungwa 6000 ila mm nimeweka 4000 na kwa kiwango cha juu ni 7000
(b)aina hii ya michungwa kadri inavyozidi kupea ndio machungwa yanazidi ubora wake pia kadri unavyochelewesha kuvuna ndio yanazidi kua mazuri na ukiyavuna mwisho wa msimu ndio vizuri zaidi mana bei itakua nzuri
(c)ni machungwa makubwa na matamu pia yanastahamili misukosuko mana ni magumu hata katika safari hayaharibiki wala kupasuka
(d)michungwa hii inahitaji utaalamu wa hali ya juu katika kuyashughulikia ila pia gharama zake ni ndogo katika kushughulikia!

ukiwa intrested na kilimo hiki kwa zaidi nitafute kwa 0712212220
Tunaomba mrejesho please,
Na ni Miche ya aina gani hiyo inayotoa Machungwa 4,000 kwa msimu??
 
Inatakiwa tulime wachache ili tupate bei juu. Wale ambao wanajiulizauliza na mashaka mashaka waache
 
HEHEHEH HII PROJECT NZITO KWAKWELI..KIMSINGI MCHUNGWA UNAOANZA KUZAA UNAWEZA KUTOA MACHUNGWA 300 KWA MSIMU..NA MCHUNGWA ULIOKOMAA UNAWEZA UKAZAA MPAKA MACHUNGWA 1200 KWA MSIMU..TENA HAPO UMEUJALI SANA...INGEKUWA MAPIGO NI MACHUNGWA 4000-7000 BASI WAKULIMA WA MACHUNGWA WANGETOBOA SANA..MAANA MACHUNGWA HUWA HAYAKAUKI MJINI KAMA NDIZI.
 
Kwa kweli tuache mada za kulima kwenye vitabu. Mimi nina uzoefu wa kutosha katika kilimo hiki cha machungwa . Mbegu ambayo iko sokoni kwa sasa ni valencia na kama umejitahidi sana kuzaa ni Machungwa 1500 tena baada ya miaka 4 au 5 huo ndio uhalisia
 
Habari wana jf mm ni kijana ambae nimekua nikifuatilia mishe mishe za mjini ambazo nikifanya naweza kutoka kimaisha mara moja nimekagua kila aina ya dili za hapa mjini na vilimo huko vijijini ila mwisho nimegundua kua kilimo cha michungwa kinalipa sana.

Hizi ni baadhi ya dondoo nilizozikusanya baada ya tathmini ya mapato kwa kupanda michungwa 1000 baada ya miaka 3

kila mchungwa baada ya miaka mitatu itazaa machungwa 4000
hivyo 4000 machungwa*1000 michungwa = 4,000,000 machungwa
jinsi ya quality ya chungwa katika kipindi cha mavuno sokoni linasimama 120 tsh kwa sasa baada ya miaka mitatu makadirio ni 150 150tsh
hivyo 150tsh *4,000,000 machungwa= 600,000,000/= tsh na ni misimu miwili kwa mwaka 600,000,000 * 2 = 1,200,000,000.

Nukuu
(a)Hii ni aina ya michungwa ambayo watu wengi hawaifahamu na kwa kiwango cha chini hapa tanzania katika mkoa wa pwani inazaa machungwa 6000 ila mm nimeweka 4000 na kwa kiwango cha juu ni 7000
(b)aina hii ya michungwa kadri inavyozidi kupea ndio machungwa yanazidi ubora wake pia kadri unavyochelewesha kuvuna ndio yanazidi kua mazuri na ukiyavuna mwisho wa msimu ndio vizuri zaidi mana bei itakua nzuri
(c)ni machungwa makubwa na matamu pia yanastahamili misukosuko mana ni magumu hata katika safari hayaharibiki wala kupasuka
(d)michungwa hii inahitaji utaalamu wa hali ya juu katika kuyashughulikia ila pia gharama zake ni ndogo katika kushughulikia!

ukiwa intrested na kilimo hiki kwa zaidi nitafute kwa 0712212220
Unataka kupiga hela za watu wewe, mti mmoja machungwa 4,000 kwa msimu!, hiyo mbegu unayo wapi wewe
 
Habari wana jf mm ni kijana ambae nimekua nikifuatilia mishe mishe za mjini ambazo nikifanya naweza kutoka kimaisha mara moja nimekagua kila aina ya dili za hapa mjini na vilimo huko vijijini ila mwisho nimegundua kua kilimo cha michungwa kinalipa sana.

Hizi ni baadhi ya dondoo nilizozikusanya baada ya tathmini ya mapato kwa kupanda michungwa 1000 baada ya miaka 3

kila mchungwa baada ya miaka mitatu itazaa machungwa 4000
hivyo 4000 machungwa*1000 michungwa = 4,000,000 machungwa
jinsi ya quality ya chungwa katika kipindi cha mavuno sokoni linasimama 120 tsh kwa sasa baada ya miaka mitatu makadirio ni 150 150tsh
hivyo 150tsh *4,000,000 machungwa= 600,000,000/= tsh na ni misimu miwili kwa mwaka 600,000,000 * 2 = 1,200,000,000.

Nukuu
(a)Hii ni aina ya michungwa ambayo watu wengi hawaifahamu na kwa kiwango cha chini hapa tanzania katika mkoa wa pwani inazaa machungwa 6000 ila mm nimeweka 4000 na kwa kiwango cha juu ni 7000
(b)aina hii ya michungwa kadri inavyozidi kupea ndio machungwa yanazidi ubora wake pia kadri unavyochelewesha kuvuna ndio yanazidi kua mazuri na ukiyavuna mwisho wa msimu ndio vizuri zaidi mana bei itakua nzuri
(c)ni machungwa makubwa na matamu pia yanastahamili misukosuko mana ni magumu hata katika safari hayaharibiki wala kupasuka
(d)michungwa hii inahitaji utaalamu wa hali ya juu katika kuyashughulikia ila pia gharama zake ni ndogo katika kushughulikia!

ukiwa intrested na kilimo hiki kwa zaidi nitafute kwa 0712212220

Ndoto na nadharia chanya japo kwenye uhalisia haipo.Ni kweli kilimo cha machungwa kinalipa lakini si kwa hesabu ya matunda 4000 baada ya miaka 3.Hata kama una mbegu nzuri mno(tutajie aina ya mbegu) huwezi kuvuna zaidi ya machungwa 1000 kwa mti mmoja baada ya miaka 3 tangu upandikize.
 
Tunaendelea,naamini wana Jf walionunua wameisha anza kuvuna machungwa 4,000
Ni mradi mzuri lkn machungwa 4,000/- per orange tree hapana. Nimepata picha za machungwa kwenye topic tu, hata machungwa 200 hayafiki. Sijui kwa nn anasema machungwa 4,000/-?

Hivi haya machungwa yanafika hata 200?

download-2.jpeg


download-1.jpeg


55d7aacac61e39bb5078bc05508065a0.jpg
 
Ni mradi mzuri lkn machungwa 4,000/- per orange tree hapana. Nimepata picha za machungwa kwenye topic tu, hata machungwa 200 hayafiki. Sijui kwa nn anasema machungwa 4,000/-?

Hivi haya machungwa yanafika hata 200?

View attachment 518522

View attachment 518523

55d7aacac61e39bb5078bc05508065a0.jpg
Atakuwa alimaanisha mwaka mzima....ikiwa unamwagilia continiously,kwani mauwa mengi yanakuwa baada ya supply ya maji ya mvua kukatika.....just a thoought
 
unazungumzia michungwa au zambarau kwa 4000 hapana halaf unajina la kiislamu na hii ramadhani bado tu unadanganya kwani ukisema ukweli watu hawatanunua?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom