Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,601
- 46,244
Watu watatikisa sana vichwa watakaposikia Shirika hilo limetengeneza hasara ya bilioni 60 kwa mwaka mmoja na limekuwa likitengeneza hasara kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita lakini msiangalie tu hasara ya bilioni 60 kwa mwaka mmoa kutoka shirika la ndege la ATCL angalieni karibia Tirioni moja zilizotumika kununua ndege za shirika hilo na ambazo tija yake haijaonekana mpaka sasa
Ukiangalia historia za mashirika ya ndege ya SA, Kenya na Ethiopia yalivyo taabani miaka yote hakuna kitu cha ajabu ambacho ATCL itaweza kukifanya kutengeneza faida ni wakati sasa wa ATCL kubinafsishwa kwa sekta binafsi na serikali kujiondoa katika biashara ya ndege.
Ukiangalia historia za mashirika ya ndege ya SA, Kenya na Ethiopia yalivyo taabani miaka yote hakuna kitu cha ajabu ambacho ATCL itaweza kukifanya kutengeneza faida ni wakati sasa wa ATCL kubinafsishwa kwa sekta binafsi na serikali kujiondoa katika biashara ya ndege.