Jamani wana jf,mm nipo kikazi dodoma takribani mwaka na nusu.gharama wanazo ziseema hawa waeshimiwa kupanda bado sijaziona.kwa kifupi hotel zilizopo dodoma ambazo zinahadhi inayofaa ni dodoma hotel,st.gasper,afrcan dreams,modern hotel,loyal vilage,dia mama hotel,kidia hotel nazingine kama mbili zenye hadhi kama nilizo taja.hotel zote hizo zina vyumba vyenye bei kati ya elfu 35-85,dodoma hotel na st gasper kunavyumba vya bei kali wastani wa laki 360000 maximum ambavyo vyenye price hiyo ktk hotel zote mbili havizi hamsini,chakula kwa st.gasper na dom hotel ambazo hizi ndo zenye gharama maximum plate 25000,sehemu za kawaida kuku mzima ni elfu kumi,je wao hua wanalala wapi na kula wapi?je tufatilie register zao tuone maotel na vyumba wanavyo lala?mm nafikili kwa ushauli kuwepo namtu anaeandaa sehemu za hawa waheshimiwa kulala,na bufee ya vyakula vyote!kila mbunge alale pale na ale pale nasio kupewa hela mkononi!au kama wanavyosaini posho wapitishiwe karratasi kila mtu ajaze anataka kula nn kwa siku nzima kiandaliwe na kulipiwa na mtu mmoja kwaniaba yao!wazo tu lkn