Tathimini: Siku 10 za kampeni ya Dr. John Magufuli

Tathimini: Siku 10 za kampeni ya Dr. John Magufuli

Kuna baadhi ya watu humu JF, wanaweza kusema hizi post ni za watu fulani ambao wanashabikia CCM lakini, huo ndiyo ukweli, utafiti huu hauhitaji wataalamu wa tafiti, ila kwa kutizama tu tunajua kinachoendelea, mpaka sasa ndugu zangu wa UKAWA kampeni zao sizielewi, mpaka imani nao inazidi kupungua kila baada ya siku
 
CCM imekulea vizuri sana Magufuli, Sina shaka na wewe kabisa. ubarikiwe sanaaa....huo mwanzo tu najua siku ni nyingi bado Mwenyezi Mungu akutangulie.
 
TandaleOne

Tathmini uliyoitoa mkuu inadhihirisha kabisa yakuwa Magufuli atashinda kwa sababu kutofika baadhi ya sehemu tu inamaana umeshagawa kura za wananchi wengi sana kiasi kwamba hawawezi kuwa na imani na wewe
 
Last edited by a moderator:
CCM Imetoa ini na figo na kufanya transplant kwa kuweka ini na figo mpya, ila kuna watu wamechukua figo na ini lililotoka CCM na kwenda kuharibu miili yao,

hahahha , uko sahihi saana, utachukuaje figo lililokufa tayar??
 
Sina shaka kabisa na magufuli huyu brother ni mchapa kazi sana naongea hvi kwasababu nmefanya naye kaz baadhi ya maeneo.

Kwasasa nadiliki kusema ccm inaenda mlama na naumia sana moyon mwangu kwasababu nchi hii inahitaji mtu mchapa kaz kama magufuli lakn ccm inaweza kutukosesha kiongoz shupavu kama Magufuli.

Lawama zote nakuangushia ww Mzee kikwete, kikwete uliamin uswahiba kazn hukuangalia utendaji, uliendekeza upole kazn hukujaribu kumfokea mtu mwovu.

Lowasa kweli alikumbwa na kashfa lakn kuna makashfa mangapi yametokea kwenye uongoz wako na wahusika wote wanakula maisha mitaan?

Chama chako mzee Kikwete kimekumbatia mafisadi nguli kama Andrew chenge, Rostam azizi, karamagi yote haya ni mafisadi papa yaliyo ndan ya ccm na chama kimeshindwa kuyachukulia hatua yoyote sasa unataka kutuambia lowasa ni mchafu kuliko haya majitu yaliyo ndan ya ccm?

Mm nakubali kabisa ccm imezidiwa nguvu najiona taratiibu naanza kusombwa na mafuriko.

Mm naamin lowasa sio msafi lakn hata ccm nao sio wasafi sasa kama wote ni wachafu bora tukubali matokeo tu.

Jaman mafuriko yamenizidi nguvu naanza kusombwa.
Lakn yote kwa yote tumwachie mwenyez Mungu atuwekee mtu anayefaa madarakan. Sisi hatujui lolote bali tunaongozwa na mapenzi yetu lakn Mungu naamini ww ndio unawajua hawa viongoz wawili kwamba ni yupi anaongea kwa kutoka ndan ya moyo na ni yupi anaongea kinafki. Mungu Watz twahitaji uwepo wako.
 
waswahili husema "maneno kuntu" kashfa alizokua nazo mpinzni mkubwa wa dr magufuli hazipendezi machoni mwa watu wanao weza kupambanua juu ya sifa za kiongozi bora, hicho ni kigezo tosha juu ya yupi anaeyefaa kuongoza tanzania yetu.
 
bora ya gar lina spare tyre kuliko ini lisilokuwa na spare ni kufa tu.
ccm ni kifo muda huu

kifo cha ccm ni kama bahari kukauka so haitokuja kutokea na daima CCM itasimama imara na tayar imeshajijengea misingi ya kimaendeleo ambapo Dr Magufuli akiingia madarakani atayatekeleza yote #hapakazitu
 
utendaji ulio bora, kutokuwa na kshfa, uchapakazi za mgombea wa ccm ukilinganisha na mheshimiwa lowaa ni tofauti kidogo, Magufuli anakua na vigezo zaidi kwasababu ya utendaji wake. lakini pia kutofika katika baadhi ya mikoa nacho ni kigezo kingine cha kugawa kura za watanzania kwa sababu ya watu kutokua na imani nae, lakini pia kudhihirisha kutokua na afya imara.kwa mantiki hii magufuli nampa nafasi kubwa ya kushinda
 
UVCCM like any other organization inacho kitengo imara na bora kinachoshughulika na tafiti za kisiasa ili kujua muelekeo wa siasa za ndani na nje ya nchi. Ni kitengo chenye wataalamu wenye kuaminika na wanaotumainiwa hata na taasisi kubwa za kitaaluma kama University of Dar es salaam.

Siyo UVCCM tu, mashirika kadhaa ya nje yamefanya utafiti na kugundua kuwa Magufuli atashinda kwa 60% kabla hata ya kufanya kampeni, ikiwemo TWAWEZA na mengine ya nje.
4.jpg 3.jpg
 
Back
Top Bottom