R.B
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 6,296
- 2,578
anakubalika 85 % chimwaga 60% chamwino 25% lumumba izo gap zilizobaki ni za lowasa hizo ni za ccm ukija kwa wananchi lowasa ni 92.5% ukijumlisha na za ccm ni 98%
iliza kilichomkuta kigoma?????????????
anakubalika 85 % chimwaga 60% chamwino 25% lumumba izo gap zilizobaki ni za lowasa hizo ni za ccm ukija kwa wananchi lowasa ni 92.5% ukijumlisha na za ccm ni 98%
Hongera sana CCM na Hongera Dr Magufuli, Mungu wetu akulinde Mh. Dr. Rais wetu
Utafiti Wa Lumumba,siyo. Na Mm Nina Utafiti. Ukawa 65,ccm 25 Wengine 10
TandaleOne hivi mbona mikutano yenu yote huwa mnahutubia wanachama wenu tu au wale mlio wapa Tshrt na kanga na madela...Haiwezekani mkavuta watu wengine wasio wanachama wenu mkawapa sera.
​ccm ingekuwa ni mwili wa binaadamu tungesha sema figo na ini vimekufa hakuna matumaini ya kupona tena!