Tathimini: Siku 10 za kampeni ya Dr. John Magufuli

Tathimini: Siku 10 za kampeni ya Dr. John Magufuli

TandaleOne hivi mbona mikutano yenu yote huwa mnahutubia wanachama wenu tu au wale mlio wapa Tshrt na kanga na madela...Haiwezekani mkavuta watu wengine wasio wanachama wenu mkawapa sera.
 
Last edited by a moderator:
TandaleOne hivi mbona mikutano yenu yote huwa mnahutubia wanachama wenu tu au wale mlio wapa Tshrt na kanga na madela...Haiwezekani mkavuta watu wengine wasio wanachama wenu mkawapa sera.
 
Last edited by a moderator:
CCM kuweni wakweli pamoja hii ni campaign tathimini yenu haina ukweli. Ukweli Dr. Magufuli aambiwe ukweli kusudi ajipange saws. Kwà sasa watanzania wana wrong altitude na CCM as whole lazima mujiulize katika second round ya Magufuli kusudi afanye vizuri.
 
Sina shaka kabisa na magufuli huyu brother ni mchapa kazi sana naongea hvi kwasababu nmefanya naye kaz baadhi ya maeneo.

Kwasasa nadiliki kusema ccm inaenda mlama na naumia sana moyon mwangu kwasababu nchi hii inahitaji mtu mchapa kaz kama magufuli lakn ccm inaweza kutukosesha kiongoz shupavu kama Magufuli.

Lawama zote nakuangushia ww Mzee kikwete, kikwete uliamin uswahiba kazn hukuangalia utendaji, uliendekeza upole kazn hukujaribu kumfokea mtu mwovu.

Lowasa kweli alikumbwa na kashfa lakn kuna makashfa mangapi yametokea kwenye uongoz wako na wahusika wote wanakula maisha mitaan?

Chama chako mzee Kikwete kimekumbatia mafisadi nguli kama Andrew chenge, Rostam azizi, karamagi yote haya ni mafisadi papa yaliyo ndan ya ccm na chama kimeshindwa kuyachukulia hatua yoyote sasa unataka kutuambia lowasa ni mchafu kuliko haya majitu yaliyo ndan ya ccm?

Mm nakubali kabisa ccm imezidiwa nguvu najiona taratiibu naanza kusombwa na mafuriko.

Mm naamin lowasa sio msafi lakn hata ccm nao sio wasafi sasa kama wote ni wachafu bora tukubali matokeo tu.

Jaman mafuriko yamenizidi nguvu naanza kusombwa.
Lakn yote kwa yote tumwachie mwenyez Mungu atuwekee mtu anayefaa madarakan. Sisi hatujui lolote bali tunaongozwa na mapenzi yetu lakn Mungu naamini ww ndio unawajua hawa viongoz wawili kwamba ni yupi anaongea kwa kutoka ndan ya moyo na ni yupi anaongea kinafki. Mungu Watz twahitaji uwepo wako.
Umeanza vibaya lakini umemaliza vizuri...Usikate tamaaa.
'..Rais wa Tanzania anaweza kutoka nchi yeyote, lakini Rais bora atatoka CCM.." By Mwalimu Nyerere.
 
Umeanza vibaya lakini umemaliza vizuri...Usikate tamaaa.
'..Rais wa Tanzania anaweza kutoka nchi yeyote, lakini Rais bora atatoka CCM.." By Mwalimu Nyerere.

ubaya ni upi mkuu
 
Tanzania yetu iko Salama ndani ya mikono ya Magufuli. USHINDI ni LAZIMA

mkuu ndio maana nilikwambia sina shaka kabisa na magufuli lakn ccm inanichefua. Kila nikimwona Andrew chenge karamagi na rostam nataman nijiripue na bom katkat yao.

Hawa jamaa wananichefua sana
 
Hata mgonjwa akiwa anakaribia kufa huwez mwambia eti utakufatu. Hahahaaa Mtoa mada atembelee voting polls za kwenye mitandao aone kura za maoni.
 
Tanzania > UKAWA vs CCM katika urais, p
Poll Results

View Poll Results: UKAWA VS CCM KATIKA URAIS

UKAWA 714 84.90%

CCM 116 13.79%

NONE OF THE ABOVE 11 1.31%

Voters: 841.

Copyright JamiiForums.com
 
Redet na synovate mwaka huu mbona hawajatoa utafiti wao kama miaka mingine?
 
Wapambe wa ccm

Hakuna popote magufuli kapa walau zaidi ya 30%

Mh Lowasa kaongoza sehem zote walizoshindanishwa kwa zaid ya 70%

Lowasa nizaid na mshindi waziwazi, achen kuanza kupika matokeo yakipropaganda kuaminisha umma upuuzi
 
Back
Top Bottom