TASWIRA; TULIA UJIONEE KIJIJI cha QUNU ALIKOZALIWA NELSON MANDELA WAKATI wa MAZISHI

utaifakwanza

JF-Expert Member
Feb 1, 2013
14,193
2,812
[h=1]TASWIRA:TULIA NA UJIONEE KIJIJI CHA QUNU ALIKOZIKWA MZEE NELSO MANDELA JUMAPILI DESEMBA 15, 2013 KWA UKARIBU[/h]

Written by haki | // 0 comments

q1.jpg

Daraja la waendao kwa miguu likipita juu ya barabara mpya ya lami inayojengwa kuelekea kijijini Qunu.
q2.jpg

Siku ya mazishi barabara ya kuelekea Qunu ilifungwa na ni magari yaliyokuwa na kibali tu ndiyo yaliyoruhusiwa kupita
q3.jpg

Ulinzi ulikuwa mkali kila sehemu kijijini Qunu
q4.jpg

Wageni wakiwa katika geti kuu la nyumba ya Mzee Mandela hapo Qunu
q5.jpg

Nyumba ya Mzee Mandela
q6.jpg

Nyumbani kwa Madiba kijijini Qunu
q7.jpg

Hema maalumu zilikofanyika shuguli zote za mazishi. Kaburi lake liko nje ya hema upande wa kushoto
q8.jpg

Hali ilivyokuwa saa kumi na moja alfajiri siku ya Jumapili
q9.jpg

Nyumbani kwa Madiba kumejaa magari hata kabla ya jua kupanda angani
q10.jpg

Sehemu ya kijiji cha Qunu. Mahema mbele ya nyumba ni ya wanahabari wa kimataifa waliopiga kambi hapo
q11.jpg

Mandhari ya Qunu
q12.jpg

Mandhari ya Qunu
q13.jpg

Ni kijiji chenye mandhari nzuri. Wakati wa majira ya baridi barafu huanguka hapa
q14.jpg

Qunu
q15.jpg

Kila engo Qunu inapendeza
q16.jpg

Kijiji cha Qunu
q17.jpg

Bango linalotangaza kijiji cha Qunu kuwa cha urithi
q18.jpg

Ulinzi ulikuwa si wa kawaida siku ya mazishi

Foleni ilikuwa ya kufa mtu
q20.jpg

Wana Afrika Kusini toka kila kona walitembea umbali mrefu kwa miguu kuhudhuria mazishi
q21%60.jpg

Nyimbo na ngoma vilitawala
q22.jpg

Mdau aklipoza koo baada ya kutembea kwa muda mrefu
q23.jpg

Sehemu ya mji wa Mthatha, kilomita kama 32 kutoka Qunu
q24.jpg

Magari yalizuiwa kwa muda wakati mwili wa Mzee Madiba uliopowasili uwanja wa Mthatha na kupelekwa Qunu
q25.jpg

q26.jpg
Sehemu ya foleni ya magari ikikaribia mji wa Mthatha na hapa wakisubiri msafara wa mwili wa Mzee Mandela upite

---
Qunu ni kijiji kidogo katika jimbo la Eastern Cape la Afrika Kusini, kilomita 32 Kusini-Magharibi ya mji wa Mthatha, katika barabara ya Butterworth na Mthata.

Kijiji cha Mvezo, pembezoni mwa mto Mbashe, ni jirani ya mahali ambapo Mzee Nelson Mandela alizaliwa. Hapo Qunu ndipo alipokulia na aliweka nadhiri ya kurejea.

Kijiji cha Qunu ndipo baba yake Mandela alipohamia baada ya kuvuliwa Uchifu wa Mvezo. Katika kitabu chake cha ‘Long Walk to Freedom’ Mzee Mandela amekitaja kijiji hicho kuwa ndipo alipoishi maisha ya furaha wakati wa utotoni.

Jumapili ya Desemba 15, 2013 Mzee Mandela alizikwa kijijini Qunu katika mazishi ya Kitaifa yaliyoshuhudiwa dunia nzima. Alizikwa kwa heshima zote za kiongozi wa Taifa katika sehemu aliyochagua mwenyewe kuwa nyumba yake ya milele.

 
Back
Top Bottom