Taswira mbalimbali za gari alilopata nalo ajali msanii sharo milionea

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,329
33,138
[h=3]TASWIRA MBALIMBALI ZA GARI ALILOPATA NALO AJALI MSANII SHARO MILIONEA NA JINSI UMATI WA WANANCHI ULIVYOFURIKA NJE YA CHUMBA CHA MAITI HOSPITALI TEULE YA MUHEZA[/h]









Gari aina ya Toyota Harrier lenye namba za usajili T 478 BVR alilokuwa akiendesha msanii wa filamu na muziki Hussein Ramadhani Mkieti ‘Sharo Millionea’ kutoka jijini Dar es salaam kuelekea Kijijini kwao Lusanga Wilaya ya Muheza mkoa wa Tanga. Sharo Millionea alikufa papo hapo na mwili wake kuhifadhiwa Hospitali ya Teule Muheza Tanga.





Baadhi ya watu wakiliangalia gari aina ya Toyota Harrier lenye namba za usajili T 478 BVR alilokuwa akiendesha msanii wa filamu na muziki Hussein Ramadhani Mkieti ‘Sharo Millionea’ kutoka jijini Dar es salaam kuelekea Kijijini kwao Lusanga Wilaya ya Muheza mkoa wa Tanga. Sharo Millionea alikufa papo hapo na mwili wake kuhifadhiwa Hospitali ya Teule Muheza Tanga.




Gari aina ya Toyota Harrier lenye namba za usajili T 478 BVR alilokuwa akiendesha msanii wa filamu na muziki Hussein Ramadhani Mkieti ‘Sharo Millionea’ kutoka jijini Dar es salaam kuelekea Kijijini kwao Lusanga Wilaya ya Muheza mkoa wa Tanga. Sharo Millionea alikufa papo hapo na mwili wake kuhifadhiwa Hospitali ya Teule Muheza Tanga.





Mbunge wa Jimbo la Muheza Hebert Mtangi akiwasili nje ya jengo la Chumba cha Kuhifadhia Maiti cha Hospitali ya Teule Muheza kwa ajili ya kushuhudia mwili wa msaniii Sharo Millionea aliyekufa katika ajali ya gari wakati akitoka Dar es Salaam kwenda Lusanga, Muheza mkoani Tanga, ajali hiyo imetokea katika kijiji cha Kijiji cha Songa Kibaoni .


Wakazi wa wilaya ya Muheza na maeneo mengine wakiwa wamefurika nje ya Chumba cha Maiti cha Hospitali Teule Muheza, kusubiri kushuhudia mwili wa Sharo Millionea, aliyefariki kwa ajali ya gari.

 
[h=3]MAMIA WASHIRIKI KATIKA MAZISHI YA SHARO MILIONE MCHANA HUU[/h]





Mwili wa marehemu Sharo Millionea ndio umelala humu, nivigumu kuamini

Mama Yake Hussein Sharo Millionea Akilia Kwa Uchungu



Nape akizungumza na wananchi waliohudhuria msibani




Mwili wa marehemu Sharo Millionea ukiwa umebebwa



Meneja wa Sharo anayejulikana kwa jina la HK akizungumza










 
Pumziko la milele umpe ee Bwana, na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani, Amina.
 
Uuhwii utandawazi noma hadi picha za ndani ya kaburi mazee

huu ni uungwana kweli wanajamii?
 
Eee Mungu, mpe mapumziko ya amani mpendwa wetu Hussein Mkiete (Sharo milionea).Kamwe sitomsahau kijana huyu kwa ubunifu wake wa kuchanganya ucheshi na muziki, na misemo yake ya ucheshi 'umebugi meen! nk.na kupangusa bega lake la kulia kama vile kuondoa uchafu. Ndo maana hussein machozi alimtumia kwenye video yake ya Mzimu wa Babu na kufanya video hiyo kushika chati sana.

Baada ya kuona picha za ajali kama zinavyoonekana hapo juu, nashangaa kuona lami. Awali tuliambiwa kwamba ajali ilitokea kwa sababu gar alokuwa akiendesha limekaa chini mno, ilhali barabara za kijijini ni mbaya. Lakini kwenye post na picha tunaambiwa gari ni toyota harrier. Na toyota harrier haiko chini sana kiasi cha kusababisha ajali.

Poleni sana wanafamilia, Poleni sana wanaJF na pole sana mzee King Majuto.
 
R.I.P sharo.
lakini jf naona inaelekea kuwa gazeti la uwazi au ijumaa ua design ya blog za akina dj.............
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…