luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Kuna yeyote aliyeitwa usaili Wa TASAF walitangazaga nafasi za kazi last month
Tutawaita tuuu
Simu zilipigwa wiki iliyopita
Fanya follow upKweli? Manake tuliomba na sisi aisee tuna ona kimya.
Duh !! Kweli mwaka Wa shetani huuwatu wameshaitwa kazini tangu jana walipost mbona
si kweliSimu zilipigwa wiki iliyopita
Tuambie we umepigiwa lini?si kweli
Bado hawajaita, ww unapotosha wenzioTuambie we umepigiwa lini?
ingia nbs website yao wametuma majina au fungua link hii hapa http://www.nbs.go.tz/nbs/takwimu/tangazo/Wito_wa_Kazi_PSSN.pdfMnauliza humu kwani mlileta tangazo humu? Km hamku share na wengine basi tulieni na sasa pia!!
Mm sijui lolote labda wanaojua watawaleteeni habari!!
Haya sasa wayaangalie...km walitangaziwa kazi washangae hadi wachokeingia nbs website yao wametuma majina au fungua link hii hapa http://www.nbs.go.tz/nbs/takwimu/tangazo/Wito_wa_Kazi_PSSN.pdf
Chief kama no kweli has kheri tuwqpe mda Hawa wakubwa TASAFsi kweli