nyapinyapileo
Member
- Oct 19, 2022
- 93
- 215
Kwa hiyo unawatisha au?Wana JF Salaam,
Naenda kwenye Usaili TASAF Dar es Salaam weekend hii. Usaili ni Jumatatu na Jumanne wiki ijayo(nafasi ni Ukurugenzi wa Idara moja...
Siwatishi nawaambia ukweli,nauli kutoka Kigoma mpaka Dar ni 80,000 hivyo ni 160,000,nikijumlisha na Lodge,Chakula kwa siku tatu na mengineyo maana yake Laki Tatu yangu inaenda kutumika kwa Usaili huo,halafu wawe wana mtu wao tayari itakuwa ni uhuni,hakika wasipotenda Haki NITAWAROGAKwa hiyo unawatisha au?
Tumeshakufahamu kupitia P.O.BOX uliyojaza kwenye attachments na tumelikata jina lako. Ni Bora uendelee na ratiba yako tu.Wana JF Salaam,
Naenda kwenye Usaili TASAF Dar es Salaam weekend hii. Usaili ni Jumatatu na Jumanne wiki ijayo(nafasi ni Ukurugenzi wa Idara moja pale TASAF)....
Mtu mzima kama mimi SITISHIWI NYAUTumeshakufahamu na tumekata jina lako. Ni Bora uendelee na ratiba yako tu
Je wewe ungekua ndio meneja wa TASAD alafu kuna nafasi mmetangaza na una mdogo wako hana ajira.Wana JF Salaam,
Naenda kwenye Usaili TASAF Dar es Salaam weekend hii. Usaili ni Jumatatu na Jumanne wiki ijayo(nafasi ni Ukurugenzi wa Idara moja pale TASAF). Kwa kuwa nasafiri umbali mrefu kutoka huku Kigoma mwisho wa Reli mpaka Dar, natumia gharama kubwa.
Nimejiandaa vizuri, lakini nina wasiwasi kama hawa jamaa hawana mtu wao wa ndani hivyo sie wengine ni geresha tu kutupotezea muda na pesa. Nawaonya TASAF mtende Haki maana natumia gharama kubwa kuja huko, ole wenu mpendelee NITAWAROGA Menejimenti nzima. Ole wenu
Kama ni hivyo wala usiende kwa sababu hawajakulazimisha kwenda kwny usaili waoSiwatishi nawaambia ukweli,nauli kutoka Kigoma mpaka Dar ni 80,000 hivyo ni 160,000,nikijumlisha na Lodge,Chakula kwa siku tatu na mengineyo maana yake Laki Tatu yangu inaenda kutumika kwa Usaili huo,halafu wawe wana mtu wao tayari itakuwa ni uhuni,hakika wasipotenda Haki NITAWAROGA
Kwahiyo mkuu unahisi wewe kupata hiyo kazi ndio watakuwa wametenda Haki?Siwatishi nawaambia ukweli,nauli kutoka Kigoma mpaka Dar ni 80,000 hivyo ni 160,000,nikijumlisha na Lodge,Chakula kwa siku tatu na mengineyo maana yake Laki Tatu yangu inaenda kutumika kwa Usaili huo,halafu wawe wana mtu wao tayari itakuwa ni uhuni,hakika wasipotenda Haki NITAWAROGA
Akijibu tofauti na tunavyotarajia uniiteJe wewe ungekua ndio meneja wa TASAD alafu kuna nafasi mmetangaza na una mdogo wako hana ajira.
Je utampa nafasi mdogo wako au utaajiri wengine?
(Kuwa mkweli).
Sio kila P.O Box uwa ndo la hapoo ulipo.Tumeshakufahamu kupitia P.O.BOX uliyojaza kwenye attachments na tumelikata jina lako. Ni Bora uendelee na ratiba yako tu.
Weka majina yako kamili ili tukufaham kwamba ukija, huitaji kuonewa. Andika majina yako kamili tafadhali.Wana JF Salaam,
Naenda kwenye Usaili TASAF Dar es Salaam weekend hii. Usaili ni Jumatatu na Jumanne wiki ijayo(nafasi ni Ukurugenzi wa Idara moja pale TASAF). Kwa kuwa nasafiri umbali mrefu kutoka huku Kigoma mwisho wa Reli mpaka Dar, natumia gharama kubwa.
Nimejiandaa vizuri, lakini nina wasiwasi kama hawa jamaa hawana mtu wao wa ndani hivyo sie wengine ni geresha tu kutupotezea muda na pesa. Nawaonya TASAF mtende Haki maana natumia gharama kubwa kuja huko, ole wenu mpendelee NITAWAROGA Menejimenti nzima. Ole wenu
Muache aje then aliwe kichwa. Muhimu ni kubandika hii "nickname" yake ukutani karibu na mlango wa kuingilia. Akiitazama TU mara mbili, anapewa swali gumu na analiwa kichwa😂Sio kila P.O Box uwa ndo la hapoo ulipo.
Hii mbinu ya kikamanda tena kwa herufi kubwa NYAPI NYAPI LEOMuache aje then aliwe kichwa. Muhimu ni kubandika hii "nickname" yake ukutani karibu na mlango wa kuingilia. Akiitazama TU mara mbili, anapewa swali gumu na analiwa kichwa😂
😂😂😂Huyu jamaa tutamsubiri.Hii mbinu ya kikamanda tena kwa herufi kubwa NYAPI NYAPI LEO
Dogo acha DHARAU,nimegonga GPA kali na za Vyuo vya maana Duniani,CV imeshiba na kuvimbiwaYani nafasi ya ukurugenzj unadhani watakuchkua we fresher kutoka kigoma
Hio wanafanya internally tu
Unapoteza mda kwenda