kinachosikitisha hapa sio haya matokeo ya fujo na uaribufu wa mali za watu, bali watu wanakuja na vitisho vya wazi serikali badala ya kujipanga mapema na kuwa tayari ku-deal na any circumstances if things ever spiral out of control. wao bado wanachukulia upepo, tusipoangalia soon hizi ghasia zitatuingiza kwenye state emergency na jeshi lije kutoa kibano.
I mean we are not dealing with armed rebels it is just Tanzanians for the first time may be in our history are beginning to question their rights, the method untested yet within but surely they must be contained. Ni vitu vya kawaida sana hata nchi zenye liberal democracy haya mambo kutokea, wao wameshajifunza not to take chances with may-day marches or on G8 summits protests. Tatizo ni wahusika kufanya vitu kimzaa, kwengine duniani hao hawasumbui hawana silaha na jeshi na polisi bado wapo upande wa serikali ni mkwara heavy arudi mtu.
Mwisho wa siku viongozi wakubali their days as mafisadi without being challenged or questioned are numbered, people can longer tolerate poverty and left ignored by their government.