johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,018
- 142,058
Mbunge wa Kinondoni mh Tarimba Abbas amesema ni aibu sana kwa Madiwani na maafisa wa Halmashauri kufisadi Fedha za Tozo
Wabunge tulipopitisha Tozo tulisemwa na kuzomewa sana na Wananchi huko mitandaoni lakini wenzetu wa Halmashauri badala ya kuzitumia vizuri wao wameziiba na kula, amesema Tarimba
Source TBC
Wanasiasa wanakula pesa afu watumishi wanasingiziwa.Mbunge wa Kinondoni mh Tarimba Abbas amesema ni aibu sana kwa Madiwani na maafisa wa Halmashauri kufisadi Fedha za Tozo
Wabunge tulipopitisha Tozo tulisemwa na kuzomewa sana na Wananchi huko mitandaoni lakini wenzetu wa Halmashauri badala ya kuzitumia vizuri wao wameziiba na kula, amesema Tarimba
Source TBC
Mbwa ccmMbunge wa Kinondoni mh Tarimba Abbas amesema ni aibu sana kwa Madiwani na maafisa wa Halmashauri kufisadi Fedha za Tozo
Wabunge tulipopitisha Tozo tulisemwa na kuzomewa sana na Wananchi huko mitandaoni lakini wenzetu wa Halmashauri badala ya kuzitumia vizuri wao wameziiba na kula, amesema Tarimba
Source TBC
Mzee wa Kitimoto aka mbuzi KatolikiMbwa ccm
Wakuu wa JF salam kwenu. Naomba kujua yafuatayo:-Mbunge wa Kinondoni mh Tarimba Abbas amesema ni aibu sana kwa Madiwani na maafisa wa Halmashauri kufisadi Fedha za Tozo
Wabunge tulipopitisha Tozo tulisemwa na kuzomewa sana na Wananchi huko mitandaoni lakini wenzetu wa Halmashauri badala ya kuzitumia vizuri wao wameziiba na kula, amesema Tarimba
Chanzo: TBC yafuatayo:-
Ama kweli kusoma kuelewa, kukesha mbwembwe.Wakuu wa JF salam kwenu. Naomba kujua yafuatayo:-
1. Report ya CAG inayojadiliwa bungeni ni ya mwaka gani?
2. Tozo zilizolalamikiwa zilipitishwa bungeni mwaka gani?
Ahsante
Mkuu Countrywide salam kwako.Ama kweli kusoma kuelewa, kukesha mbwembwe.
Hakuna report ya CAG inayojadiliwa hapo, bali mbunge anafanya kazi yake ya kuisimamia serikali na kwa upande wake ndio anasema fedha za tozo zinaliwa huko hivyo serikali ifanye namna kukomesha hilo.