Ni vizuri Majina ya wajumbe wa Kamati ya Bajeti iliyolifikisha taifa letu kwenye Maumivu ya tozo yafahimike na UMMA

saidoo25

JF-Expert Member
Jul 4, 2022
602
1,407
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti ndio imelifikisha taifa hapa lililopo sasa kwenye mkwamo na mgogoro mkubwa wa kuichumi kwa kubariki msururu mkubwa wa tozo kwa wananchi masikini.

Bahati mbaya sana Kamati hii imejificha na lawama zote zinaelekezwa kwa Rais wetu Samia Suluhu Hassan badala ya Kamati iliyoanzisha na kupitisha mambo hayo.

Kamati ya Bajeti kwa kushirikiana na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kwa manufaa wanayoyajua wao kundi la la watu 24 tu ndio Taifa zima linahangaika sasa kwa maamuzi ya watu hawa wachache huku wakiacha Rais abebeshwe lawama zisizomuhusu.

Kamati hiyo ya Bajeti inaundwa na wabunge wafuatao ili watanzania tuwafahamu kwa majina yao na majimbo yao wanayotoka kuliko kuendelea kumlaumu Rais ambaye hahusiki na jambo lolote.

1. Mhe. Sillo Daniel Baran- Mwenyekiti wa Kamati
2. Mhe. Omari Mohamed Kigua- Makamu Mwenyekiti
3. Mhe. Ali Hassan Omar King
4. Mhe. Oran Manase Njenza
5. Mhe. Josephat Sinkamba Kandege
6. Mhe. Leah Jeremiah Komanya
7. Mhe. Issa Jumanne Mtevu
8. Mhe. Joseph George Kakunda
9. Mhe. Shally Josepha Raymond
10. Mhe. Subira Hamis Mgalu
11. Mhe. Ester Nicolaus Matiko
12. Mhe. Jonas William Mbunda
13. Mhe. Mariam Madalu Nyoka
14. Mhe. Juma Hamad Omar
15. Mhe. Kwagilwa Reuben Nhamanilo
16. Mhe. Tarimba Gulam Abbas
17. Mhe. Amina Iddi Mabrouk
18. Mhe. Riziki Said Lulida
19. Mhe. Halima James Mdee
20. Mhe. Zaytun Seif Swai
21. Mhe. Dk. Charles Kimei
22. Mhe. Shamsi Vuai Nahodha
23. Mhe. Mariam Nassor Kisangi

SILLO.jpg
 
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti ndio imelifikisha taifa hapa lililopo sasa kwenye mkwamo na mgogoro mkubwa wa kuichumi kwa kubariki msururu mkubwa wa tozo kwa wananchi masikini.

Bahati mbaya sana Kamati hii imejificha na lawama zote zinaelekezwa kwa Rais wetu Samia Suluhu Hassan badala ya Kamati iliyoanzisha na kupitisha mambo hayo.

Kamati ya Bajeti kwa kushirikiana na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kwa manufaa wanayoyajua wao kundi la la watu 24 tu ndio Taifa zima linahangaika sasa kwa maamuzi ya watu hawa wachache huku wakiacha Rais abebeshwe lawama zisizomuhusu.

Kamati hiyo ya Bajeti inaundwa na wabunge wafuatao ili watanzania tuwafahamu kwa majina yao na majimbo yao wanayotoka kuliko kuendelea kumlaumu Rais ambaye hahusiki na jambo lolote.

1. Mhe. Sillo Daniel Baran- Mwenyekiti wa Kamati
2. Mhe. Omari Mohamed Kigua- Makamu Mwenyekiti
3. Mhe. Ali Hassan Omar King
4. Mhe. Oran Manase Njenza
5. Mhe. Josephat Sinkamba Kandege
6. Mhe. Leah Jeremiah Komanya
7. Mhe. Issa Jumanne Mtevu
8. Mhe. Joseph George Kakunda
9. Mhe. Shally Josepha Raymond
10. Mhe. Subira Hamis Mgalu
11. Mhe. Ester Nicolaus Matiko
12. Mhe. Jonas William Mbunda
13. Mhe. Mariam Madalu Nyoka
14. Mhe. Juma Hamad Omar
15. Mhe. Kwagilwa Reuben Nhamanilo
16. Mhe. Tarimba Gulam Abbas
17. Mhe. Amina Iddi Mabrouk
18. Mhe. Riziki Said Lulida
19. Mhe. Halima James Mdee
20. Mhe. Zaytun Seif Swai
21. Mhe. Dk. Charles Kimei
22. Mhe. Shamsi Vuai Nahodha
23. Mhe. Mariam Nassor Kisangi
Hawa ndio wamesababisha matatizo makubwa
 
Unakosea sana kuwaita Mh.
Makosa mengine ni kumuachia Mungu kila jambo/ tatizo wakati tumepewa akili na maarifa ya kuishi.

Ni wakati wa kuamka
 
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti ndio imelifikisha taifa hapa lililopo sasa kwenye mkwamo na mgogoro mkubwa wa kuichumi kwa kubariki msururu mkubwa wa tozo kwa wananchi masikini.

Bahati mbaya sana Kamati hii imejificha na lawama zote zinaelekezwa kwa Rais wetu Samia Suluhu Hassan badala ya Kamati iliyoanzisha na kupitisha mambo hayo.

Kamati ya Bajeti kwa kushirikiana na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kwa manufaa wanayoyajua wao kundi la la watu 24 tu ndio Taifa zima linahangaika sasa kwa maamuzi ya watu hawa wachache huku wakiacha Rais abebeshwe lawama zisizomuhusu.

Kamati hiyo ya Bajeti inaundwa na wabunge wafuatao ili watanzania tuwafahamu kwa majina yao na majimbo yao wanayotoka kuliko kuendelea kumlaumu Rais ambaye hahusiki na jambo lolote.

1. Mhe. Sillo Daniel Baran- Mwenyekiti wa Kamati
2. Mhe. Omari Mohamed Kigua- Makamu Mwenyekiti
3. Mhe. Ali Hassan Omar King
4. Mhe. Oran Manase Njenza
5. Mhe. Josephat Sinkamba Kandege
6. Mhe. Leah Jeremiah Komanya
7. Mhe. Issa Jumanne Mtevu
8. Mhe. Joseph George Kakunda
9. Mhe. Shally Josepha Raymond
10. Mhe. Subira Hamis Mgalu
11. Mhe. Ester Nicolaus Matiko
12. Mhe. Jonas William Mbunda
13. Mhe. Mariam Madalu Nyoka
14. Mhe. Juma Hamad Omar
15. Mhe. Kwagilwa Reuben Nhamanilo
16. Mhe. Tarimba Gulam Abbas
17. Mhe. Amina Iddi Mabrouk
18. Mhe. Riziki Said Lulida
19. Mhe. Halima James Mdee
20. Mhe. Zaytun Seif Swai
21. Mhe. Dk. Charles Kimei
22. Mhe. Shamsi Vuai Nahodha
23. Mhe. Mariam Nassor Kisangi
Haina mchawi hii inahusu mamlaka za juu, eleweni Kwa upana hii nchi Kwa Sasa matajiri wameishika na kila kiongozi azma yake ni kuwa tajiri mkubwa, ni mpango shirikishi wenye kuhusu maskini na matajiri katika muktadha finyu wenye kivuli Cha dhana shirikishi kujikwamua na mkwamo wa mpito wa kiuchumi, let's be universal thinkers, let's embrace next levels of thinking, The dominance of leadership with market appeal syndrome imeshika hatamu
 
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti ndio imelifikisha taifa hapa lililopo sasa kwenye mkwamo na mgogoro mkubwa wa kuichumi kwa kubariki msururu mkubwa wa tozo kwa wananchi masikini.

Bahati mbaya sana Kamati hii imejificha na lawama zote zinaelekezwa kwa Rais wetu Samia Suluhu Hassan badala ya Kamati iliyoanzisha na kupitisha mambo hayo.

Kamati ya Bajeti kwa kushirikiana na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kwa manufaa wanayoyajua wao kundi la la watu 24 tu ndio Taifa zima linahangaika sasa kwa maamuzi ya watu hawa wachache huku wakiacha Rais abebeshwe lawama zisizomuhusu.

Kamati hiyo ya Bajeti inaundwa na wabunge wafuatao ili watanzania tuwafahamu kwa majina yao na majimbo yao wanayotoka kuliko kuendelea kumlaumu Rais ambaye hahusiki na jambo lolote.

1. Mhe. Sillo Daniel Baran- Mwenyekiti wa Kamati
2. Mhe. Omari Mohamed Kigua- Makamu Mwenyekiti
3. Mhe. Ali Hassan Omar King
4. Mhe. Oran Manase Njenza
5. Mhe. Josephat Sinkamba Kandege
6. Mhe. Leah Jeremiah Komanya
7. Mhe. Issa Jumanne Mtevu
8. Mhe. Joseph George Kakunda
9. Mhe. Shally Josepha Raymond
10. Mhe. Subira Hamis Mgalu
11. Mhe. Ester Nicolaus Matiko
12. Mhe. Jonas William Mbunda
13. Mhe. Mariam Madalu Nyoka
14. Mhe. Juma Hamad Omar
15. Mhe. Kwagilwa Reuben Nhamanilo
16. Mhe. Tarimba Gulam Abbas
17. Mhe. Amina Iddi Mabrouk
18. Mhe. Riziki Said Lulida
19. Mhe. Halima James Mdee
20. Mhe. Zaytun Seif Swai
21. Mhe. Dk. Charles Kimei
22. Mhe. Shamsi Vuai Nahodha
23. Mhe. Mariam Nassor Kisangi
Kwa bahati mbaya kabisa sikumbuki uchaguzi uliyo wapitisha kuwa wabunge ulifanyika lini vinginevyo ningeandamana
 
Changamoto kubwa, hawa wakubwa wengi na familia zao hawapitii ugumu wa maisha wanaopitia watu wa chini huku. Kwa kweli hali ni mbaya sana. Mh. Rais hawa watu wanakuchonganisha na wananchi. Wengine wanakitaka kiti chako wanaweka mazingira magumu ili wao wakiingia watatue matatizo waliyoyatengeneza wenyewe waonekane mashujaa
 
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti ndio imelifikisha taifa hapa lililopo sasa kwenye mkwamo na mgogoro mkubwa wa kuichumi kwa kubariki msururu mkubwa wa tozo kwa wananchi masikini.

Bahati mbaya sana Kamati hii imejificha na lawama zote zinaelekezwa kwa Rais wetu Samia Suluhu Hassan badala ya Kamati iliyoanzisha na kupitisha mambo hayo.

Kamati ya Bajeti kwa kushirikiana na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kwa manufaa wanayoyajua wao kundi la la watu 24 tu ndio Taifa zima linahangaika sasa kwa maamuzi ya watu hawa wachache huku wakiacha Rais abebeshwe lawama zisizomuhusu.

Kamati hiyo ya Bajeti inaundwa na wabunge wafuatao ili watanzania tuwafahamu kwa majina yao na majimbo yao wanayotoka kuliko kuendelea kumlaumu Rais ambaye hahusiki na jambo lolote.

1. Mhe. Sillo Daniel Baran- Mwenyekiti wa Kamati
2. Mhe. Omari Mohamed Kigua- Makamu Mwenyekiti
3. Mhe. Ali Hassan Omar King
4. Mhe. Oran Manase Njenza
5. Mhe. Josephat Sinkamba Kandege
6. Mhe. Leah Jeremiah Komanya
7. Mhe. Issa Jumanne Mtevu
8. Mhe. Joseph George Kakunda
9. Mhe. Shally Josepha Raymond
10. Mhe. Subira Hamis Mgalu
11. Mhe. Ester Nicolaus Matiko
12. Mhe. Jonas William Mbunda
13. Mhe. Mariam Madalu Nyoka
14. Mhe. Juma Hamad Omar
15. Mhe. Kwagilwa Reuben Nhamanilo
16. Mhe. Tarimba Gulam Abbas
17. Mhe. Amina Iddi Mabrouk
18. Mhe. Riziki Said Lulida
19. Mhe. Halima James Mdee
20. Mhe. Zaytun Seif Swai
21. Mhe. Dk. Charles Kimei
22. Mhe. Shamsi Vuai Nahodha
23. Mhe. Mariam Nassor Kisangi
Uzalendo sio hiari mtaelewa miaka ijayo maana ya hii tozo , nyakati hizi ni hatari zaidi kuwadhooifisha matajiri, this is good move though ni ngumu kuilewa, na iendelee hadi hapo itakavokuwa vinginevyo angalau by 2025 hii tozo iendelee
 
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti ndio imelifikisha taifa hapa lililopo sasa kwenye mkwamo na mgogoro mkubwa wa kuichumi kwa kubariki msururu mkubwa wa tozo kwa wananchi masikini.

Bahati mbaya sana Kamati hii imejificha na lawama zote zinaelekezwa kwa Rais wetu Samia Suluhu Hassan badala ya Kamati iliyoanzisha na kupitisha mambo hayo.

Kamati ya Bajeti kwa kushirikiana na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kwa manufaa wanayoyajua wao kundi la la watu 24 tu ndio Taifa zima linahangaika sasa kwa maamuzi ya watu hawa wachache huku wakiacha Rais abebeshwe lawama zisizomuhusu.

Kamati hiyo ya Bajeti inaundwa na wabunge wafuatao ili watanzania tuwafahamu kwa majina yao na majimbo yao wanayotoka kuliko kuendelea kumlaumu Rais ambaye hahusiki na jambo lolote.

1. Mhe. Sillo Daniel Baran- Mwenyekiti wa Kamati
2. Mhe. Omari Mohamed Kigua- Makamu Mwenyekiti
3. Mhe. Ali Hassan Omar King
4. Mhe. Oran Manase Njenza
5. Mhe. Josephat Sinkamba Kandege
6. Mhe. Leah Jeremiah Komanya
7. Mhe. Issa Jumanne Mtevu
8. Mhe. Joseph George Kakunda
9. Mhe. Shally Josepha Raymond
10. Mhe. Subira Hamis Mgalu
11. Mhe. Ester Nicolaus Matiko
12. Mhe. Jonas William Mbunda
13. Mhe. Mariam Madalu Nyoka
14. Mhe. Juma Hamad Omar
15. Mhe. Kwagilwa Reuben Nhamanilo
16. Mhe. Tarimba Gulam Abbas
17. Mhe. Amina Iddi Mabrouk
18. Mhe. Riziki Said Lulida
19. Mhe. Halima James Mdee
20. Mhe. Zaytun Seif Swai
21. Mhe. Dk. Charles Kimei
22. Mhe. Shamsi Vuai Nahodha
23. Mhe. Mariam Nassor Kisangi
Asante , tayari majina yote hayo nimemkabidhi Mungu ayashughulikie
 
Back
Top Bottom