johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,114
Mbunge wa Kinondoni mh Tarimba Abbas amesema hajawahi kuandika popote kwamba wabunge wanapaswa kulipa kodi na kwamba ile twitter account siyo yake.
Tarimba amekiri kuumizwa sana na uzushi huo na bado hajajua huyo mzushi nia yake ni nini hasa.
Wabunge wanalipa kodi zote kama wananchi wengine kwahiyo naomba msinichonganishe na wabunge wenzangu, amesisitiza Tarimba
Source: TBC Aridhio
Tarimba amekiri kuumizwa sana na uzushi huo na bado hajajua huyo mzushi nia yake ni nini hasa.
Wabunge wanalipa kodi zote kama wananchi wengine kwahiyo naomba msinichonganishe na wabunge wenzangu, amesisitiza Tarimba
Source: TBC Aridhio