The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
Kuna mtu anaweza kuniambia huyu mtu aliteuliwa lini kuwa
Mwenyekiti wa bodi ya bahati nasibu?
aliteuliwa na nani?
kabla ya hapo nani alikuwa kwenye hiko cheo?
utaratibu gani unatakiwa wa nafasi hiyo?
je nafssi zake za urais yanga hapo zamani
au udiwani kinondoni kisheria zinaingiaje na cheo chake?
na je hiyo bodi inafanya shughuli zipi haswaa?
iko chini ya wizara gani?
Mwenyekiti wa bodi ya bahati nasibu?
aliteuliwa na nani?
kabla ya hapo nani alikuwa kwenye hiko cheo?
utaratibu gani unatakiwa wa nafasi hiyo?
je nafssi zake za urais yanga hapo zamani
au udiwani kinondoni kisheria zinaingiaje na cheo chake?
na je hiyo bodi inafanya shughuli zipi haswaa?
iko chini ya wizara gani?