Tarimba Abass Tarimba...........

Tarimba Abass Tarimba...........

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,320
Reaction score
117,611
Kuna mtu anaweza kuniambia huyu mtu aliteuliwa lini kuwa

Mwenyekiti wa bodi ya bahati nasibu?

aliteuliwa na nani?

kabla ya hapo nani alikuwa kwenye hiko cheo?

utaratibu gani unatakiwa wa nafasi hiyo?

je nafssi zake za urais yanga hapo zamani
au udiwani kinondoni kisheria zinaingiaje na cheo chake?

na je hiyo bodi inafanya shughuli zipi haswaa?

iko chini ya wizara gani?
 
Ni mteule wa rais kama walivyo wateule wengine na infact jamaa ana shule ya kutosha sana ...kuhusu urais yanga na udiwani kinondoni sidhani kama hiyo ni hoja maana sioni msing wake.
Bodi hii inasimamia michezo yote ya kubahatisha kuanzia inayoendeshwa na makasino,makampuni ya simu,magazeti nk..(yaani kila aina ya bahati nasibu halali unayoijua wewe)
 
Ni mteule wa rais kama walivyo wateule wengine na infact jamaa ana shule ya kutosha sana ...kuhusu urais yanga na udiwani kinondoni sidhani kama hiyo ni hoja maana sioni msing wake.
Bodi hii inasimamia michezo yote ya kubahatisha kuanzia inayoendeshwa na makasino,makampuni ya simu,magazeti nk..(yaani kila aina ya bahati nasibu halali unayoijua wewe)


kateuliwa na Rais yupi?
ilikuwa lini?
 
The Boss,
ninavyofahamu mimi ni kuwa Tarimba ni Director General na sio mwenyekiti wa Bodi.
 
Kabla ya kuteuliwa Tarimba alikuwepo Mohamed Mussa au Mussa Mohamed.
 
Ni Mkurugenzi mtendaji wa bodi siyo mwenyekiti wa bodi hivyo ni mwajiliwa
Kabla ya hapo alikuwa Mohamed Mussa (marehemu) ambaye aliwahi kuwa mwenyekiti wa FAT(sasa hivi TFF0
nafasi zake za urais wa yanga na udiwani haziingiliani na naafasi yake
Bodi ya bahati nasibu inasimamia na kutoa leseni kwa michezo yote ya kubahatisha ikiwemo leseni za casino na bahati nasibu za promesheni mbalimbali
Bodi ya bahati nasibu ipo chini ya wizara ya fedha
 
Tarimba atagombea ubunge wa kinondoni baada Idd Azani kutangaza hatagombea tena ubunge
 
Ni Mkurugenzi mtendaji wa bodi siyo mwenyekiti wa bodi hivyo ni mwajiliwa
Kabla ya hapo alikuwa Mohamed Mussa (marehemu) ambaye aliwahi kuwa mwenyekiti wa FAT(sasa hivi TFF0
nafasi zake za urais wa yanga na udiwani haziingiliani na naafasi yake
Bodi ya bahati nasibu inasimamia na kutoa leseni kwa michezo yote ya kubahatisha ikiwemo leseni za casino na bahati nasibu za promesheni mbalimbali
Bodi ya bahati nasibu ipo chini ya wizara ya fedha


Kama ni mkurugenzi Mtendaji hiyo ni full time job; na udiwani pia ni kazi inayotaka muhusika atumie muda mwingi kuwatumikia wananchi hivyo sidhani kama ni sahihi kwa yeye kushika kazi hizo mbili!!! Kikwete kafumba macho; si mlimuona Tarimba alivyojipanga kumpa mkono Obama!!!
 
je nafssi zake za urais yanga hapo zamani
au udiwani kinondoni kisheria zinaingiaje na cheo chake?
The Boss Tarimba alishatokaga kwenye uongozi wa Yanga, ila ili la udiwani naona hapa kuna shida kidogo, udiwani na ukurugenzi sijui kama vinakwenda pamoja, ninavyofahamu wengine wamelazimishwa aachie kiti kimoja.



na je hiyo bodi inafanya shughuli zipi haswaa?
Hawa watu wanasimamia michezo yote ya kamali na ya kubahatisha.

iko chini ya wizara gani?
Chini ya wizara ya fedha
unaweza kwenda moja kwa moja kwenye website yao.
Gaming Board of Tanzania - Home
 
kuna mtu anaweza kuniambia huyu mtu aliteuliwa lini kuwa

mwenyekiti wa bodi ya bahati nasibu?

Aliteuliwa na nani?

Kabla ya hapo nani alikuwa kwenye hiko cheo?

Utaratibu gani unatakiwa wa nafasi hiyo?

Je nafssi zake za urais yanga hapo zamani
au udiwani kinondoni kisheria zinaingiaje na cheo chake?

Na je hiyo bodi inafanya shughuli zipi haswaa?

Iko chini ya wizara gani?

home of great thinkers...'
 
Kuna mtu anaweza kuniambia huyu mtu aliteuliwa lini kuwa

Mwenyekiti wa bodi ya bahati nasibu?

aliteuliwa na nani?

kabla ya hapo nani alikuwa kwenye hiko cheo?

utaratibu gani unatakiwa wa nafasi hiyo?

je nafssi zake za urais yanga hapo zamani
au udiwani kinondoni kisheria zinaingiaje na cheo chake?

na je hiyo bodi inafanya shughuli zipi haswaa?

iko chini ya wizara gani?

Mkuu The Boss, this Tarimba guy is a tough and smart cookie. In addition, politically, he's well connected and a CCM insider. He's very well respected within the high profile Dar business community. It's also fair to say that he's among the untouchable fellas in Tanzania
 
Back
Top Bottom