Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,955
- 4,662
Leo ni tarehe moja April.
Ni maarufu kama siku ya wajinga aka 'fools day'
Ni siku ambazo huwa sipendi kusoma habari za magazeti wala kusoma threads mbali mbali zinazoanzishwa humu JF.
Wabongo tumekuwa tunaitumia vibaya sana hii siku.
Wenyewe walioanzisha huko 'Ulaya' huwa wanaiadhimisha hadi (mwisho ni) saa sita mchana ya siku hii hii ya tarehe moja. lakini sisi wabongo tunaextend hadi baada ya saa6 mchana tunahadhimisha tuu.
nadhani sababu ni ile ile 'ulimbukeni' wa kuvamia vamia mambo na kuyakuza.
Nawatahadharisha wana JF kuhusu sms mtakzopokea leo, emails, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali na hata threads mtakazozisoma humu. Don't take them seriously.
Ni maarufu kama siku ya wajinga aka 'fools day'
Ni siku ambazo huwa sipendi kusoma habari za magazeti wala kusoma threads mbali mbali zinazoanzishwa humu JF.
Wabongo tumekuwa tunaitumia vibaya sana hii siku.
Wenyewe walioanzisha huko 'Ulaya' huwa wanaiadhimisha hadi (mwisho ni) saa sita mchana ya siku hii hii ya tarehe moja. lakini sisi wabongo tunaextend hadi baada ya saa6 mchana tunahadhimisha tuu.
nadhani sababu ni ile ile 'ulimbukeni' wa kuvamia vamia mambo na kuyakuza.
Nawatahadharisha wana JF kuhusu sms mtakzopokea leo, emails, vichwa vya habari vya magazeti mbali mbali na hata threads mtakazozisoma humu. Don't take them seriously.