Lucas mwashamba
Member
- Jul 30, 2025
- 97
- 324
Ndugu zangu watanzania,
Tarehe 8/9/2025 ndo WATANGANYIKA tunaanza harakati za ukombozi huru wa taifa letu. Kama wewe kijana mpenda nchi yako tukutane mahakamani siku hiyo kwenda kumpa sapoti na kumpigania shujaa wetu,
Ni siku muhimu sana kwetu kwenda kuiandika historia mpya ya kumuunga mkono shujaa na kuijaza mahakama na kuijuza Dunia kua sie tupo upande upi na tuna msapoti kiongozi yupi
Tuweke utofauti wa vyama pembeni tupambanie taifa kwanza mana wakati ndo huu wakuonyesha Dunia kuwa tunahitaji mabadiliko ya kweli na si hadithi za mabadiliko
Mungu mbaliki TUNDULISU mungu ibaliki CHADEMA mungu ibaliki TANZANIA mungu ibaliki TANGANYIKA
Tarehe 8/9/2025 ndo WATANGANYIKA tunaanza harakati za ukombozi huru wa taifa letu. Kama wewe kijana mpenda nchi yako tukutane mahakamani siku hiyo kwenda kumpa sapoti na kumpigania shujaa wetu,
Ni siku muhimu sana kwetu kwenda kuiandika historia mpya ya kumuunga mkono shujaa na kuijaza mahakama na kuijuza Dunia kua sie tupo upande upi na tuna msapoti kiongozi yupi
Tuweke utofauti wa vyama pembeni tupambanie taifa kwanza mana wakati ndo huu wakuonyesha Dunia kuwa tunahitaji mabadiliko ya kweli na si hadithi za mabadiliko
Mungu mbaliki TUNDULISU mungu ibaliki CHADEMA mungu ibaliki TANZANIA mungu ibaliki TANGANYIKA