johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,129
Nichukue fursa hii kulipongeza jeshi letu tukufu la JWTZ kwa kazi njema waliyoifanya mwaka 1978/79 na kuwarejeshea Wananchi wa Uganda uhuru wao.
Jenerali Iddi Amini alipindua serikali na kuingia madarakani kihuni.
Maendeleo hayana vyama!
cc: Mmawia
Jenerali Iddi Amini alipindua serikali na kuingia madarakani kihuni.
Maendeleo hayana vyama!
cc: Mmawia