Tarehe 18 Mei 1985: Shirika la kijasusi la KGB kulikuwa na idara iliyojulikana kama Directorate K

Sio udhaifu ni vile hawakufikiria possible options kuwa what if huyu atatoroka na kumbuka huo usaliti wa Oleg ni kama kuishi mume na mke unayemwamini sana ukute ndio anakuuza so kutoboa hapo ni ngumu mno
Ofcoz kutoboa kwa Kgb ilikuwa ni ngumu na na ni kwasababu upande wa pili walijisuka vizuri sana kukabiliana nao. Ingawa hatujajua alitoroka vipi but hope ni kwa kurefer ule mpango uliosukwa wa PMLICO.
 
Sawa tu msaliti si wakumchekea huyo ni zaidi ya ibilisi uyuda wake unaleta madhara makubwa Kwa watu wengi.
Hafu hii story inaonyesha ni jinsi Gani hata wanasiasa wetu walivo Rais kutumika na mataifa ya nje hata hao waliojifanya kukimbia nchi wafadhili waliwatorosha, ingawa nilikuwa sikubaliani na madudu yaliyokuwa yanaendelea nchi ikiwemo uchaguzi wa hovyo
Kwa Tanzania ni nini CIA au M16 wakakosa hadi wahangaike na wanasiasa kwa mambo ya 2015-20 tuliona wenyewe ni halali wakimbie
 
Ofcoz kutoboa kwa Kgb ilikuwa ni ngumu na na ni kwasababu upande wa pili walijisuka vizuri sana kukabiliana nao. Ingawa hatujajua alitoroka vipi but hope ni kwa kurefer ule mpango uliosukwa wa PMLICO.
Yes ni vile CIA, M16 walijua upande wa pili in deep so ikawa easy kusuka mipango ikawa ka kumsukuma mlevi, ujue adui wako ukimjua unapanga na silaha ya kumumaliza na vita inakuwa nyepesi
 
Kwa Tanzania ni nini CIA au M16 wakakosa hadi wahangaike na wanasiasa kwa mambo ya 2015-20 tuliona wenyewe ni halali wakimbie
Lazima wahangaike na wanasiasa maana ndio decision makers ili kujua Nini kinaendelea ili kulinda masilahi Yao ya kiuchumi pia. So ma Oleg na Ahmes lazima watoe feedback hasa wale wanaingia vikao vya ndani
 
Yes ni vile CIA, M16 walijua upande wa pili in deep so ikawa easy kusuka mipango ikawa ka kumsukuma mlevi, ujue adui wako ukimjua unapanga na silaha ya kumumaliza na vita inakuwa nyepesi
Na kwa mujibu wa hii story ni CIA na M16 ndio walioepusha hii vita isitokee maana kwa taarifa za siri walizokuwa wanazipata ni wazi kuwa hata vita hiyo wangeshinda bila kikwazo chochote ni basi tu kwamba waliamua kuzitumuia taarifa hizo positively na busara ya hali ya juu kuepusha vita ila wangekuwa na pride labda leo tungekuwa tunaongea mengine
 
Sawa tu msaliti si wakumchekea huyo ni zaidi ya ibilisi uyuda wake unaleta madhara makubwa Kwa watu wengi.
Hafu hii story inaonyesha ni jinsi Gani hata wanasiasa wetu walivo Rais kutumika na mataifa ya nje hata hao waliojifanya kukimbia nchi wafadhili waliwatorosha, ingawa nilikuwa sikubaliani na madudu yaliyokuwa yanaendelea nchi ikiwemo uchaguzi wa hovyo
Basi kwa mantiki hiyo Jiwe alikuwa sahihi kwa baadhi ya "Watu"

Kuna kauli nyingi alikuwa analalamika moja ipo hapo juu akisema "Yeye ndyo rais wa nchi hii, anajua Siri nyingi, na nyingine mkisikia hamtoamini"
 
West hawakuwa smart sema Oleg ndio aliwasaidia maana alikuwa na access na taarifa nyeti so sioni u smart wamshukuru Oleg alivowasaidia na wao wakamuokoa.
So ilikuwa kufa kufaana
U smart wa west NI katika kumuokoa Oleg. Kumbuka walikuwa na mpango tayari wa kumuokoa ndani ya Moscow ikiwa dili lake litabumbulika.

Ujinga wa Soviet NI kushindwa kumuokoa Ames .
Ina maana hawakuwa na plan yoyote ya kumlinda Wala kumuokoa. Na ndiyo maana Ames alidakwa na yupo korokoroni mwenzake Oleg alifika Moscow na bado akawa mikono salama.
 
U smart wa west NI katika kumuokoa Oleg. Kumbuka walikuwa na mpango tayari wa kumuokoa ndani ya Moscow ikiwa dili lake litabumbulika.

Ujinga wa Soviet NI kushindwa kumuokoa Ames .
Ina maana hawakuwa na plan yoyote ya kumlinda Wala kumuokoa. Na ndiyo maana Ames alidakwa na yupo korokoroni mwenzake Oleg alifika Moscow na bado akawa mikono salama.
Na western lazima wangemlinda source wao by any means kama kiapo hapo walifanya jambo jema, Sasa hao warusi kutokuwa na plan za kulinda source wao walizingua vibaya
 
U smart wa west NI katika kumuokoa Oleg. Kumbuka walikuwa na mpango tayari wa kumuokoa ndani ya Moscow ikiwa dili lake litabumbulika.

Ujinga wa Soviet NI kushindwa kumuokoa Ames .
Ina maana hawakuwa na plan yoyote ya kumlinda Wala kumuokoa. Na ndiyo maana Ames alidakwa na yupo korokoroni mwenzake Oleg alifika Moscow na bado akawa mikono salama.
KGB were very stupid on this
 
Kuna msemo unasema "kama huoni udhaifu wako basi huo ndio udhaifu wenyewe"

Kitendo cha kuweza kumpata Jasusi wa upande wa pili, kutumia na kumtorosha bila shida hii ni udhaifu mkubwa kwa KGB
Hii ni kawaida katika medani za ujasusi , Urusi Hadi Leo anapambana na East na wameshindwa

Kuhusu kutoroka refer ya Edward Snowden alitorokea wapi?

Hili ni jambo la kawaida sana

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
 
Na kwa mujibu wa hii story ni CIA na M16 ndio walioepusha hii vita isitokee maana kwa taarifa za siri walizokuwa wanazipata ni wazi kuwa hata vita hiyo wangeshinda bila kikwazo chochote ni basi tu kwamba waliamua kuzitumuia taarifa hizo positively na busara ya hali ya juu kuepusha vita ila wangekuwa na pride labda leo tungekuwa tunaongea mengine
Haaa duniani hakujawahi kutokea majasusi nguli na wenye uelewa kama Warusi na hii ndio maana wanaogopeka , refer jasusi Yuri ambaye alizunguka Dunia nzima na kuwasoma majasusi baadae akaandika kitabu akiwa Japan namna ya kuwatambua majasusi wa CIA baadae wakaanza kufundisha katika vyuo vyao vya ujasusi na CIA walianza kudakwa kama kuku

KGB ilikuwa ni dude la kutisha sana kwenye anga za ujasusi

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
 
Basi kwa mantiki hiyo Jiwe alikuwa sahihi kwa baadhi ya "Watu"

Kuna kauli nyingi alikuwa analalamika moja ipo hapo juu akisema "Yeye ndyo rais wa nchi hii, anajua Siri nyingi, na nyingine mkisikia hamtoamini"
Msaliti ikiwezekana apigwe tu bastola ya kichwa mchezo kwisha ni watu hatari jiwe alikuwa sahihi angepita nao hata kimya kimya sema hakuwa smart kwenye kutekeleza hyo mipango Sasa na hao wasaliti itakuwa walishaandaliwa njia ya kuokolewa Incase of anything.
And mostly wasaliti huwezi wazania kuwa ni WA Yuda
 
Na kwa mujibu wa hii story ni CIA na M16 ndio walioepusha hii vita isitokee maana kwa taarifa za siri walizokuwa wanazipata ni wazi kuwa hata vita hiyo wangeshinda bila kikwazo chochote ni basi tu kwamba waliamua kuzitumuia taarifa hizo positively na busara ya hali ya juu kuepusha vita ila wangekuwa na pride labda leo tungekuwa tunaongea mengine
Waliamua kutumia busara waliona vingi ni utopian havitekelezeki loh
 
Lazima wahangaike na wanasiasa maana ndio decision makers ili kujua Nini kinaendelea ili kulinda masilahi Yao ya kiuchumi pia. So ma Oleg na Ahmes lazima watoe feedback hasa wale wanaingia vikao vya ndani
Kwa Tz
 
Basi kwa mantiki hiyo Jiwe alikuwa sahihi kwa baadhi ya "Watu"

Kuna kauli nyingi alikuwa analalamika moja ipo hapo juu akisema "Yeye ndyo rais wa nchi hii, anajua Siri nyingi, na nyingine mkisikia hamtoamini"
Kwani aliyokua anasema c nduo haya saivi mindege yeny haiwezi luka
 
Kuhusu nani ni zaidi yamwenzake bado siwezi kuweka west juu ya east ikizingatiwa west alipata msaada wa bure toka kwa wasaliti kwa sababu zao binafsi hivyo ikawa rahisi kumtega na kumjeruhi east. Bahati mbaya east hakuwa amejua nini kinaendelea ila alivyopata dokezo tu aliweza ku-decode mshukiwa na wakalizima ingawa hawakuwa na tahadhali ya kutosha hadi jamaa akatoroka tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom