Taratibu za kumvalisha binti pete ya uchumba.

Taratibu za kumvalisha binti pete ya uchumba.

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
12,072
Reaction score
16,624
Wakuu,kwema?
Naomba kutolewa tongotongo kidogo,hivi nikitaka kumvika my gal pete ya uchumba ni lazima nifanye kijisherehe kidogo nialike na watu wachache kuja kushuhudia au naweza tu kumuita mahali patulivu tukiwa wawili then nikapiga goti mbele yake nikamvalisha hiyo pete?
Asanteni
 
Wakiwepo mashuhuda inakuwa vzur zaid,mkiwa wenyew inakuwa haina uzito
 
Vipi upo mianzi..sanawari..sakina au ngalimii?

Tusituane tumfurahishe mtoto nakula bia hapa masomething Bar.
 
Mpe avae mwenyewe bwana,wakati anavaa mpige picha
 
Mvishe Pete na mashahidi kadhaa wawepo

Sio kuvalishiana Lodge
 
Nataka kumvisha mdada wa JF
74de6864f35c7c9eee3409cd2b54e87d.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom