Taratibu za kuacha kazi...

Taratibu za kuacha kazi...

karatu78

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2014
Posts
233
Reaction score
42
samahani wakuu mm ni mwl nimetumikia serikali kwa miaka 8 nataka niache kazi. je naweza kulipwa mafao.
 
Unatakiwa umuandikie boss wako notisi ya siku 30 (nadhani ungesoma hii kwenye barua yako ya kuajiriwa?). Utaendelea kufanya kazi na atakujibu kukukubalia. Baada ya miezi 6 utaenda pspf na kuomba mafao yako. Utapewa process zikikamilika
 
Mwandikie bosi wako barua ya notice one month b4 ukielezea sababu za kuacha kazi naye atakujibu. Akikukubalia baada ya miezi miwili unaanza kudai mafao yako kama NSSF.
 
pspf hawana fao la kujitoa, huwezi lipwa. labda kama upo mfuko mwingine.
 
Unatakiwa umuandikie boss wako notisi ya siku 30 (nadhani ungesoma hii kwenye barua yako ya kuajiriwa?). Utaendelea kufanya kazi na atakujibu kukukubalia. Baada ya miezi 6 utaenda pspf na kuomba mafao yako. Utapewa process zikikamilika
Au unaweza ukatoa notice ya saa 24 na utalazimika
mwajiri mshahara wa mwezi mmoj
 
Mkuu pia unaweza kumwandikia mkuu wako wa kazi barua ya kuacha kazi saa 24 na kulipa kiasi kinacholingana na mshahara wako kwa mwezi. Kumbuka kupewa risiti na baada ya miezi 6 anza mchakato wa mafao.
 
Hiyo ya pspf mbona hatari.unaweza ukajitoa huko iliuweze kuangia mfuko mwingine.
 
pspf hawana fao la kujitoa, huwezi lipwa. labda kama upo mfuko mwingine.
Mkuu hata pspf ck hz wana fao la kujitoa cha muhimu awe na barua ya kuacha kaz aliyoandika yy,aliyojibiwa na mwajir wake,salary slip miez 3 kabla hajaacha kaz,barua yake ya ajira na pia barua aliyoandikiwa na mwajir wake kuomba kurejeshewa michango yake.
 
Kumbe tupo wengi. Mimi mwenyewe mwisho mwezi huu, mwezi ujao nadhani nitakuwa mjasiriamali pure!
 
Ongera kwa kujiokoa mapema kufa maskini. wadau, hivi nssf mpunga unaupata mada gani baada ya kuacha kazi na hasa baada ya kufungua madai?
 
Mkuu hata pspf ck hz wana fao la kujitoa cha muhimu awe na barua ya kuacha kaz aliyoandika yy,aliyojibiwa na mwajir wake,salary slip miez 3 kabla hajaacha kaz,barua yake ya ajira na pia barua aliyoandikiwa na mwajir wake kuomba kurejeshewa michango yake.
Uko pspf mkuu?Nilienda ofisi zao za Iringa kuomba kipeperushi chao chenye list ya mafao na sikuoina hiyo.
 
hivi humu JF hapana watu wa pspf wakatueleza kama kuna mafao ya kujitoa,nami nilifikiri kuwa wana mafao ya pspf
 
Back
Top Bottom