Taratibu za kuacha kazi...

Taratibu za kuacha kazi...

mkuu unamkimbia kabaila mnyonyaji serikali? kila la heri mkuu katika kuondokana na sultan tipu tipp aka serikali
 
PsPf wana fao la kujitoa,angalieni website yao.www.pspf.go.tz
Mi mwenyewe ninampango wa kujiajiri.serikalini ni kujiandalia umaskini tu.
 
Tatzo hi kada ni ya kimaskini zaidi fikiri miaka 8 bado basic 378elf take hme 200elf siyo umaskini huo.
 
Kwa miaka hiyo naamini mfuko wako ni Local Authority Parastatal Fund (LAPF). Sawasawa?
 
Unatakiwa umuandikie boss wako notisi ya siku 30 (nadhani ungesoma hii kwenye barua yako ya kuajiriwa?). Utaendelea kufanya kazi na atakujibu kukukubalia. Baada ya miezi 6 utaenda pspf na kuomba mafao yako. Utapewa process zikikamilika
Mfano wa hiyo notice tafadhali wadau
 
Back
Top Bottom