mpogorohalisi
Member
- Jun 11, 2025
- 12
- 21
Wakuu Leo nimetoka NSSF Morogoro baada ya tarehe 28/5 kujibiwa vibaya na muhudumu wa reception kuhusu mafao yangu ambayo sasa yanamaliza mwezi na nusu.
Baada ya kukomaa sana waliniambia meneja amesafiri! Leo nimerudi majibu ni yale yale. Je ni kweli meneja akisafri na ofisi haipo? Ikiwa rais tu akienda nje ya nchi anaacha kwa makamu je nssf Morogoro hakuna kaimu?
Naomba jamii forum muwatafute nssf makao makuu watoe ufafanuz kama tunakaa mwezi meneja hayupo na mambo hayaendi basi hili ni jipu! Wengi tumesubirishwa kulipwa na tunapewa sababu kua meneja hayupo
Baada ya kukomaa sana waliniambia meneja amesafiri! Leo nimerudi majibu ni yale yale. Je ni kweli meneja akisafri na ofisi haipo? Ikiwa rais tu akienda nje ya nchi anaacha kwa makamu je nssf Morogoro hakuna kaimu?
Naomba jamii forum muwatafute nssf makao makuu watoe ufafanuz kama tunakaa mwezi meneja hayupo na mambo hayaendi basi hili ni jipu! Wengi tumesubirishwa kulipwa na tunapewa sababu kua meneja hayupo