Tapeli rachel atafutwe

Tapeli rachel atafutwe

Walianzia kwenye email, naona sasa wamehamia kwenye utapeli wa kutumia simu!
 
jaman mimi nilikutana na huyu
mtu Habari, naitwa Judy From Polythm Software Dar. Nipo kikaoni
tunapitia CV tupate majina ya kuinterview for I.T Personel, I Like your
Cv na ntakusaidia upate hii kazi kwa sharti lifuatalo, Mshahara ni 1.5
Million kwa mwezi, ukilipwa mwezi wa kwanza utanipa Sh. Laki 3 for
helping you, If you agree do the following, By saa 11 Jioni uwe Umetuma
Scaned Copy Ya vyeti Vyako to
trevonbon@gmail.com
Na Sh. Elfu 30 by M-pesa Namba 0759923566 ili nimpe mtu wa interview
anipe maswali ntakutumia kwenye e-mail, Hr Manager Nshampa Elfu 50
Kashakubali, Nikitoka kikaoni utapigiwa simu lini uje for
Interview.

matapeli wamejaa nchi hii,wanatake advantage ya vijana tusio na kazi kutukandamiza zaidi.
 
hahahhaha dah kweli hawa mbwa washenzi hata me pia walinitumia kama hii ila me nikamwambia alipe yeye hiyo 30 then nitamlipa kiiiimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaa pumbaf zake,wakajipange upya:nimekataa
 
Hao wamejaa mjini yaani watu wamekuwa na roho za shetani kabisa hivi hizi elfu 30 hata ukipata kwa watu 10 itakufikisha wapi bila kuwa na kitu cha kufanya mtu unatapeli hela ndogo kwa mtu ambaye hana kazi hujui unamzidishia matatizo? Hebu turudi vijijini tukalime ili tuepukane na yote hayo utakuta jibaba limependeza kumbe tapeli watu tuwe makini tuwashushue na kuwaambia ukweli kuwa tumegundua wafanye njia nyingine hiyo imekuwa ya zamani, Mungu awalaani woooooooteeee matapeli
 
nimejifunza aisee and thanks much for the help guys and info as well
 
Back
Top Bottom