Joycefull
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 770
- 391
uwiii kwanini unasema ivooRIP Mzee wetu...
Leo ndio nimegundua Mheshimiwa Pinda amefanana zaidi na mama yake.
uwiii kwanini unasema ivooRIP Mzee wetu...
Leo ndio nimegundua Mheshimiwa Pinda amefanana zaidi na mama yake.
Kale kabebifesi flani hivi amazing....uwiii kwanini unasema ivoo
wew msibani hatuchekagi!!!!yeluuwiiiiiKale kabebifesi flani hivi amazing....
Basi taratibu, usijemwamsha mtoto bure.... maana akiamka akakutana na ile makitu... Chinekeeee!!wew msibani hatuchekagi!!!!yeluuwiiiii
Afu mzee wa watu bado yuko gado... anatembea kilometa tano bila mashaka... Sijui kama Ben Mkapa anaweza kutembea hata robo kilometaMzee Ally Hassan Mwinyi kamzidi umri hadi baba Mzazi wa Mizengo Pinda. Duh
Huyo lema anayea ndoo saa hizi atampa nani stress.Bavicha mpo too low.Mnajadili maono!kuishiwa kubaya sanaWewe hakuna binadamu asiye na stress kwenye dunia hii hata kama anakula mana na asali ,usitake kujifanya msemaji wa Jumaa
Halafu ulichokiona hapo ni hilo la Mwanae ku disco ? Vipi maono ya Lema hayampi Stress ?
Wewe jifanye hamnazo tu ni kibarua chako cha buku 7 unatetea hivyo nakuelewa ..teh teh eti anampa nani Stress kama hampi stress anapambana naye wa nini ? Unafanya mchezo nini na watu uliotegemea wakuombee halafu wanapata maono ya kwamba utakataa ugali ?Huyo lema anayea ndoo saa hizi atampa nani stress.Bavicha mpo too low.Mnajadili maono!kuishiwa kubaya sana
Mnamshabikia lema nyuma ya keyboard,wanawe hawajamuona mwezi sasa,Lema akibahatika kutoka hatakaa arudie tena huo upuuzi wake,usifanye mchezo kupumuliwa na mtu ana TB anakohoa usiku kucha,chumba cha watu wawili mpo hamsini.Msicheze na serikali unaona yule mzee wa TRA kalilia dhamana wee,mwisho kaamua kutulia tu,Wewe jifanye hamnazo tu ni kibarua chako cha buku 7 unatetea hivyo nakuelewa ..teh teh eti anampa nani Stress kama hampi stress anapambana naye wa nini ? Unafanya mchezo nini na watu uliotegemea wakuombee halafu wanapata maono ya kwamba utakataa ugali ?
Mpaka Hakimu akakataa kutoa mdhamana kwa Lema kisa mke wa jamaa hajatoka hospital
Mnamshabikia lema nyuma ya keyboard,wanawe hawajamuona mwezi sasa,Lema akibahatika kutoka hatakaa arudie tena huo upuuzi wake,usifanye mchezo kupumuliwa na mtu ana TB anakohoa usiku kucha,chumba cha watu wawili mpo hamsini.Msicheze na serikali unaona yule mzee wa TRA kalilia dhamana wee,mwisho kaamua kutulia tu,
Tayari umeshahamisha magoliWewe unamshabikia Jumaa mbele ya keyboard ? Usifanye mchezo na kuambiwa unadanja wewe dunia tamu hii ..Serikali ipi unayosema isichezewe ? Hii ya EPA,ESCOROW,LUGUMI,KIWIRA ,RADA ,RICHMOND NDEGE YA RAIS ,UJANGILI ,NA TWIGA KUPANDA NDEGE ?