Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

Status
Not open for further replies.
waislamu wote wangekuwa sawa na wewe nchi hii ingekuwa mbali kiuchumi, kijeshi, kijamii na kisiasa, lakini kwa vile mashehe wapenda ubwabwa na wali wa maulidi ni wengi ndiyo maana tumefikia hapa tulipo!

Na hao makafiri wenzako wanafanya nini serikalini?wamejazana tu na Hamna chochote...
 

Tatizo lenu hamujui maana ya neno "KAFIRI" hilo sio tusi ila sifa ya wale wanaoukataa uislamu.
 

Mwambie atafute cd ya Ilunga ya uhuru wa tz ndo atajua ukwell...
 
Hhahahaha, Kahtan umeanza kukomaa na mwislam mwenzio NasDaz, Nazdaz kaona mbali, yeye hakuna kuunga mkono UGAIDI kama wewe.

Mwanamme kujiita Kakende ni kuwafahamisha wenzake kuwa yeye KAHASIWA!
Na aliyehasiwa mara zote anakuwa ni chaakula!!

Hebu tazama huyu mwenzako huku!
Eti MUME WA MCHUNGAJI kampa talaka MUMEWE .

teh teh teh! Jamani hawa WAKRISTO NDIO WANAOTUSABABISHIA SUNAMI!

Gay US bishop Gene Robinson to divorce husband

- Gay bishop Gene Robinson to divorce http://www.bbc.co.uk/news/world-us-canada-27278938
 
Last edited by a moderator:

NazDaz, uko sahihi kabisa. Hata sisi wakristu tumekatazwa kuhukumu maana anaejua uchafu wetu ni Mungu,James 4:12 There is only one Lawgiver and Judge, the one who is able to save and destroy. But you--who are you to judge your neighbor?. Tatizo kahtaan anasumbuliwa na roho wa mauaji na mpenda damu. Wewe ni mwislam swaafi
 
Aaah

Kumbe napoteza muda kwa kuzungumza na chizi...

Sasa wewe udhalimu wote alioufanya nyerere ikiwa ni pamoja na kuwaweka waislam wenzako vizuizin na ikibid wengine kupotezwa kimya kimya huoni siyo??

Na nyerere alipokuundia chombo km bakwata na kutumia chombo hicho kubana waislam na kuwarudisha nyuma kimaendeleo ya kila nyanja wewe hulion hilo..

Kweli mapimbi wengi nchi hiii

Pamoja na watu km ilunga kusimama na kuyasema hayo waz waz bado ww unajitoa ufaham tena hadi unafikia kumfananisha nyerere na mwinyi??

Haya tumekuskia nenda kakojoe ukalale maana bado mchanga wewe ukikua utaacha uwendawazim wako.
 
Nimemsikia pia kupitia BBC kasema katumwa na mungu..

Tunarudishana slave trade era...pro radicals will come and use profanities to justify this devilish act.
 

Nimekukataza kukurupuka bila Biblical evidence, bila evidence kwangu ni uchafu tu, achana na hao,. Yesu aliwatabiri
 
Wewe ni mfano wa wale wanaoitwa "AD DAYYUS"!

Sasa mimi sitaki kuwapa faida MAKAFIRI! we katafute maana ya Dayus utafahamu nina maana gani!

Nakuskitikia sana! Angalia tu ndugu yangu usunyweshwa yale madamu ya kakobe! Hao wagalatia wachawi sana!

mungu ni mwema, atamwongoza vyema kujua baya na zuri kitu ambacho mwanadamu yeyote hawezi kwani ni dhaifu mbele ya MUNGU
 
Sawa wewe genius unayemwamini aliyetabiriwa utume na mganga wa kienyeji. ALLAH anayeruhusu binadamu kumuua binadamu mwenzake huwezi kumfananisha na MUNGU WETU WA UPENDO

Mungu gani huyo wa upendo na mimi nimjue
 
Hivyo hivyo unaweza kukesha JF unamponda Ilunga kumbe hakuna ukifanyacho.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…