Tanzia: Prof. Lwambuka afariki Dunia

Tanzia: Prof. Lwambuka afariki Dunia

RIP Prof. eng. Lwambuka.

Poleni sana ndugu na Jamaa.
 
Kuna watu wako vizuri, mnakumbuka mpaka code za masomo, binafsi nimesahau zote, r.i.p
 
View attachment 319151

Naamka asubuhi nawahi ofisini tayari kulitumikia taifa. Naingia ofisi ya mkuu wa idara na kukutana na hii habari ya masikitiko kuwa Prof. Lwambuka mtaalamu wa Structural Engineering na Mwalimu wangu wa Mwaka wa Kwanza....kafariki dunia.

Pumzika kwa Amani Prof. Lwambuka, sote tunjia moja.
Prof was chuo gani? Siyo kila mtu anamfahamu nchi Hii kuna maprofesa wengi.
 
A Prof n German, Dr n Tanzanian!! Pumzika kwa amani mwl
 
Kwa kweli kila mtu na fani yake. R.I.P Profesa. Sisi wachezea nanilii tuna watu wetu.
 
Naon Umeanza zile tabia zetu za kule ..

Jiridhishe na uelewa wa jiografia, Bukoba na kwetu kuna umbali wa kilometa 1200!
Na hii ni kukudhihirishia kwamba Elimu tuliyopata ya zamani tulikuwa waelewa.
 
View attachment 319151

Naamka asubuhi nawahi ofisini tayari kulitumikia taifa. Naingia ofisi ya mkuu wa idara na kukutana na hii habari ya masikitiko kuwa Prof. Lwambuka mtaalamu wa Structural Engineering na Mwalimu wangu wa Mwaka wa Kwanza....kafariki dunia.

Pumzika kwa Amani Prof. Lwambuka, sote tunjia moja.

Njia inaweza kuwa moja lakini destination inaweza kuwa tofauti. Jitafakari kila siku na mche Mungu kwa nguvu zako zote, kwa roho yako yote na kwa akili zako yote
 
View attachment 319151

Naamka asubuhi nawahi ofisini tayari kulitumikia taifa. Naingia ofisi ya mkuu wa idara na kukutana na hii habari ya masikitiko kuwa Prof. Lwambuka mtaalamu wa Structural Engineering na Mwalimu wangu wa Mwaka wa Kwanza....kafariki dunia.

Pumzika kwa Amani Prof. Lwambuka, sote tunjia moja.
"Tukutane next period for more examples on friction"those were last words on friday Engineering mechanics session !
 
View attachment 319151

Naamka asubuhi nawahi ofisini tayari kulitumikia taifa. Naingia ofisi ya mkuu wa idara na kukutana na hii habari ya masikitiko kuwa Prof. Lwambuka mtaalamu wa Structural Engineering na Mwalimu wangu wa Mwaka wa Kwanza....kafariki dunia.

Pumzika kwa Amani Prof. Lwambuka, sote tunjia moja.
RIP Prof.Lwambuka, ''If you are stupid enough you can take a moment about the centre of the body''while there are other place in a given body are much simple to enable you to balance forces.
 
RIP Prof.Lwambuka, ''If you are stupid enough you can take a moment about the centre of the body''while there are other place in a given body are much simple to enable you to balance forces.
hahaaa bending moment diagram na shear zilinipa taabu saana
 
Bongo chuo ni kimoja tu..so tukizungumzia chuo ujue ni UDSM vyengine ni voda faster tu ...


Summation of the forces in y direction is equal to Zero, reason? use common sense..RIP Prof
Hi I pumba sasa
 
mzee wa ku resolve forces it was so nice! mizigo ilikua inashuka balaaa RIP
 
Back
Top Bottom