Tanzia: Prof. Lwambuka afariki Dunia

Tanzia: Prof. Lwambuka afariki Dunia

RedDevil

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2009
Posts
2,367
Reaction score
1,524
CQJ7i5FWsAAVyu8.jpg


Naamka asubuhi nawahi ofisini tayari kulitumikia taifa. Naingia ofisi ya mkuu wa idara na kukutana na hii habari ya masikitiko kuwa Prof. Lwambuka mtaalamu wa Structural Engineering na Mwalimu wangu wa Mwaka wa Kwanza....kafariki dunia.

Pumzika kwa Amani Prof. Lwambuka, sote tunjia moja.
 
dooooh RIP prof in German lwambuka ulikua hauna complication kwny somo lako iwe UE au test nakumbuka ulinifundshaga static na dyamic nikiwa mwaka wa kwanza kipindi hikoo
 
Dah Dr Lwambuka wakati huo Ilikua rahis kupata 100 na kazi vile vile RIP
 
Pumzika prof......UDSM will have a hard time finding a replacement!
 
RIP Prof. Nakumbuka mfano wako kwenye Vectors...mstari toka ubaoni hadi nyumbani kwa mama yako Bukoba..dahh.. ulikuwa mwalimu mzuri
 
View attachment 319151

Naamka asubuhi nawahi ofisini tayari kulitumikia taifa. Naingia ofisi ya mkuu wa idara na kukutana na hii habari ya masikitiko kuwa Prof. Lwambuka mtaalamu wa Structural Engineering na Mwalimu wangu wa Mwaka wa Kwanza....kafariki dunia.

Pumzika kwa Amani Prof. Lwambuka, sote tunjia moja.
Miaka hiyo akiwa Asst Lecturer wetu FoE.
Dr Lwambuka ni wa ukoo wa Kamuzora wa Kanyigo.
RIP Prof Lwambuka.
 
RIP Prof, nakumbuka enzi zile alikuwa anapenda kuvaa flush disc shingoni, akija kutufundisha SD 106 theater one
 
RIP Prof. Nakumbuka mfano wako kwenye Vectors...mstari toka ubaoni hadi nyumbani kwa mama yako Bukoba..dahh.. ulikuwa mwalimu mzuri
mkuu tulikuwa mwaka mmoja nini?I remember ilikuwa lecture theatre 2
 
Back
Top Bottom