Alikuwa kisiki cha Dr. slaa kivp au wapi!
Asante Kwa Kuniita Pimbi na Unaweza Ukaendelea tu Kunitusi Utakavyo ila Nilichomaanisha Ni Kwamba Alifanyiwa Matibabu Ya Aina Mbili Ya Kwanza ni Kuondoa Damu iliyokuwa Imeingia ktk Ubongo Wake na Baadae Pia Akafanyiwa hiyo Oparesheni Ya Mapafu Yake. Taarifa Kamili Ndiyo Hiyo na Kama Kuna Mahala Nimekuchanganya au Nimekosea Niwie Sana Radhi Kwani Yawezekana Pia Nimechanganyikiwa na Taarifa Za Msiba Wake Kwani Kwangu alikuwa ni Baba Wa Mfano wa Kuigwa na Mwanasiasa Mnyenyekevu, Muungwana, Mwenye Upeo wa Kuona Mbali na Mshauri Mzuri Sana Wa Maisha na Binafsi Nimejifunza na Nimefaidika na Mengi Sana Ya Kiushauri Kutoka Kwa Mzee Patrick Qorro na Nadiriki Kusema Kuwa hata Mafanikio Yangu na Maisha Yangu Kiujumla hadi hapa Nilipofikia ana Asilimia Zake 25. Nitamkumbuka Sana Mzee Qorro Tokea Akiwa Anaishi Kinondoni Karibu na Ubalozi wa India, Kisha Akahamia Chuo Kikuu Mlimani Mtaa wa Kaloleni na Hadi Alipohamia ktk Nyumba Yake hapo Ada Estate. RIP Uncle Patrick Qorro NITAKUKUMBUKA na KUKULILIA DAIMA.
na grace alikuwa kipenzi cha babake toka zamaniiiiii, yaani she will be really in pain, rest in peace mzee qorroNawapa pole sana Mama Qorro na watoto wake
inasikitisha kupoteza wazee wetu hawa,
Pole zaidi Grace maana ni juzijuzi tu ulipoteza mume... hard to take when a woman loses two special men in her life in such a short period of time
Mzee alichangia sana ccm kuchukiwa Karatu kwa dharau aliyonayo na kauli mbovu
aliwahi pia kuwaambia wananchi wa karatu kama wanataka maji walete ndoo akojoleePoleni wana Karatu,enzi za uhai wake aliwahi kuwaambia wakulima wa Mang'ola wana vichwa kama vitunguu
unaweza kutenga chakula bafuni?achaga usenge wewe. Kwani shida ni nn ikiwekwa huku! Acha kukariri mambo ---- wewe!
Habari za kusikitisha-mzee patrick qorro amefariki dunia usiku huu muhimbili. Huyu alikuwa mwanasiasa nguli, lakini alikwaa kisiki cha dk slaa.