myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 147,648
- 656,484
Ni ya kweli.. Mungu amlaze panapostahiliUmetoa wapi hii taarifa
Ni ya kweli.. Mungu amlaze panapostahiliUmetoa wapi hii taarifa
ulitaka aweke na machozi?Mkuu mbona umeripoti kirahisi hivyo taarifa ngumu namna hii?
Mambo vipi,umeamkaje?Msimshambulie mtoa mada, yeye katoa taarifa kama ambavyo vovyo vyake vya habari vimetangaza. Huu ndo umuhimu wa mitandao ya kijamii kuwa hata ambaye hasikilizi radio au kuangalia TV anaweza kupata habari. R.I.P Mengi
Apumzike kwa amaniNi ya kweli.. Mungu amlaze panapostahili