Tanzia: Muigizaji Rachel Haule afariki dunia

aluuu, kumbe odama naye mama kijacho

Aliiliimarehemuuu analili alioshea naenabibie m nimeenda kipunguni juzi wanawakewanalia niwazuri tu mkewebmarehemu kaliakayalliza

Kuuliza naambiwa jamaa wanaliabaadayakujuana marafiki wamepitiwakama njugu billakujua na jamaa
Usiniulize zaidi
Heshimu ndoa Yako

Kibonde mnamwona katuni sikiyasiku anakumbukwa milele
 
Aliiliimarehemuuu analili alioshea naenabibie m nimeenda kipunguni juzi wanawakewanalia niwazuri tu mkewebmarehemu kaliakayalliza

Kuuliza naambiwa jamaa wanaliabaadayakujuana marafiki wamepitiwakama njugu billakujua na jamaa
Usiniulize zaidi
Heshimu ndoa Yako

Kibonde mnamwona katuni sikiyasiku anakumbukwa milele

Heeee hata sijakuelewaaa warumi hebu njoo unieleweshe alichokiandika Pdidy
 
Last edited by a moderator:
Aliiliimarehemuuu analili alioshea naenabibie m nimeenda kipunguni juzi wanawakewanalia niwazuri tu mkewebmarehemu kaliakayalliza

Kuuliza naambiwa jamaa wanaliabaadayakujuana marafiki wamepitiwakama njugu billakujua na jamaa
Usiniulize zaidi
Heshimu ndoa Yako

Kibonde mnamwona katuni sikiyasiku anakumbukwa milele

ha aha aha aha aha aahahha

PDD uko sahihi kabisaa

michepukooooo kho kho kho
 
Vifo vya kina mama na watoto wachanga vinavyotokana na uzazi...I don't think we are doing enough to reduce them! Sasa kama Dar hapa mtu maarufu anafariki kwa uzazi na hospitali zote zipo hizi...je mke wa 'mlalahoi' vijijini ndani ndani huko atapona!? Nini wajibu wetu na sisi wanaume!? Tupo tupo tu..wake/dada/shangazi/binti zetu wanakufa tu! RIP Recho.

Shimbonyi shafoo mbe! Riwa naamini tatizo kubwa lipo kwa nyie wahudumu wa afya...halafu ndio vitanda na vifaa....lakini tatizo kubwa ni nyie...inabidi mbadilike kwa kweli
 
Kitu kifanyike juu ya elimu ya uzazi na afya ya uzazi, tuokoe watoto wetu na wake zetu.

Hili suala la vifo vya mama na mtoto naona linakuwa sugu, nini kifanyike?

Inaumiza sana, R. I. P Rachel.
 
Shimbonyi shafoo mbe! Riwa naamini tatizo kubwa lipo kwa nyie wahudumu wa afya...halafu ndio vitanda na vifaa....lakini tatizo kubwa ni nyie...inabidi mbadilike kwa kweli

Fafanua basi..kivipi? Sikatai kuwa wahudumu wa afya wanachangia, lakini fafanua ueleweke kabla ya kunyoosha kidole.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom