KIGENE
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,552
- 813
Aliyekuwa mtangazaji mkongwe mstaafu wa Redio Tanzania na Sauti ya Ujerumani Florian Kaiza ameaga dunia leo jioni katika hospitali teule ya wilaya ya Missenyi, Mugana, Mkoani Kagera.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
AMINA.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe
AMINA.