Yaah n kweli kabisa.Angekuwepo rafiki nisingewaza, Rafiki kipenzi ninayempenda....daah alivuma kipindi Fulani akapotea, RIP Swahiba. Sasa utaona coverage ya huyu msanii ambaye kuna kitu amefanya kwenye sanaa inavyokuwa ndogo, ila yule mwingine ambaye hajafanya cha maana zaidi ya kutuonesha msambwanda anapewa coverage ile mbaya