Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kuondokewa nduguyetu, Mwanahabari Mpoki Bukuku. Katika kipindi ambacho tasnia ya habari inapitia kipindi chenye changamoto lukuki tulihitaji sana kuwa naye. Mwenyezi Mungu kamruhusu mwanaye, aende karibu na hukumu zake. Kila la kheri Kaka, mbele umetutangulia. Tunamrudishia Bwana sifa na utukufu. Sisi sote ni waja.
Habari za muda huu zinaeleza kuwa Mpoki Bukuku, mpigapicha mkuu wa magazeti ya IPP, amefariki dunia.
Jana usiku alipata ajali akiwa anarejea nyumbani kutokea kazini.
Alikuwa amelazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Taarifa zaidi baadaye
***jamaa alikuwa mdau wangu kichizi anti stress pub tbt kimanga
opposite na shule ya sekondari tabata wazazi***
ipo Kimanga sehemu gani mdau?/ nielekeze mkuu...
***opposite na shule ya sekondari tabata wazazi
Ni karibu na camp pub mkuu?jamaa alikuwa mdau wangu kichizi anti stress pub tbt kimanga
hapana IPO kimanga mwisho...Ni karibu na camp pub mkuu?