TANZIA: Mpiga picha maarufu, Mpoki Bukuku amefariki dunia

Kamanda

Senior Member
Dec 5, 2007
150
176
Mpoki.JPG

Habari za muda huu zinaeleza kuwa Mpoki Bukuku, mpigapicha mkuu wa magazeti ya IPP, amefariki dunia.

Jana usiku alipata ajali akiwa anarejea nyumbani kutokea kazini.

Alikuwa amelazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Taarifa zaidi baadaye


Nimepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kuondokewa nduguyetu, Mwanahabari Mpoki Bukuku. Katika kipindi ambacho tasnia ya habari inapitia kipindi chenye changamoto lukuki tulihitaji sana kuwa naye. Mwenyezi Mungu kamruhusu mwanaye, aende karibu na hukumu zake. Kila la kheri Kaka, mbele umetutangulia. Tunamrudishia Bwana sifa na utukufu. Sisi sote ni waja.

========

Mpigapicha maarufu, Mpoki Bukuku amefariki dunia leo katika Taasisi ya Mifupa (MOI) alikokuwa amelazwa akipatiwa matibabu. Mpoki alifikishwa MOI jana usiku baada ya kupata ajali ya gari eneo la Mwenge-ITV na kujeruhiwa sehemu mbalimbali.
 
Habari za muda huu zinaeleza kuwa Mpoki Bukuku, mpigapicha mkuu wa magazeti ya IPP, amefariki dunia.

Jana usiku alipata ajali akiwa anarejea nyumbani kutokea kazini.

Alikuwa amelazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Taarifa zaidi baadaye

Poleni wafiwa. Mungu awape faraja kwenye kipindi hiki kigumu na kuwapa wepesi kwenye mchakato wa mazishi/maziko
 
Poleni wafiwa.Alikuwa role model kwa wengi katika kazi yake ya fotojounalism.Bwana alitoa na Bwana ametwaa,jina la Bwana lihimidiwe.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom