Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,535
- 8,620
Nchi Hii tunakuja kuwa Kama Wakenya...kila kitu Siasa...Mara Chadema hawakwendaa kumuona ,...Sasa jeneza pale msikitini limetoka Haina benderaaa..
akimaliza msiba tuhuma zake ziko palepale.
akimaliza msiba tuhuma zake ziko palepale.
Ndugu zangu kwanza niwape pole kwa msiba Wa mama yetu shida salum mjumbe Wa baraza LA katiba siku hizi mpita njia akifa au dereva piki piki chadema wanapeleka bendera yao kufunikia jeneza
Hata mwanaccm akifa Kama ndugu zake kwaa asilimia nyingi ni chadema wanauteka msiba na jeneza kufunikwa kwa bendera ya chadema mfano ni Dada yake Mbowe liliani alikuwa mwanaccm lakini siku ya msiba Redbriged walikuja na bendera kuanzia pale kanisa LA kkkt wazo hili
Jana nimeshangazwa kwa kutoona jeneza LA mjumbe Wa kamati kuu ya chadema kutofunikwa na bendera ya chama kwani ugomvi na mtoto wake unakizuia chama kumzika kwa heshima mjumbe wao?
Chadema acheni ubaguzi uliyopitiliza kuwani na moyo Wa kibinaadamu huyu mama amekuwa chadema maisha yake yote nakukieshimu chama chake ila mmeamua kumlipa hayo
mnafki wa kwanza ni wewe, zitto ni mpuuzi sawa na wapuuzi wengine na yeye si wakwanza kufiwa.
akimaliza msiba tuhuma zake ziko palepale.
sasa mimi chadema inanihusu nini? tuhuma za zitto ziko palepale wala yeye si wa kwanza kufiwa, wanaokufa kila siku wanaacha majozi kwenye familia zao.
Laiti ungeujua uchungu wa kufiwa na mzazi, hakika usingecomment hivi.Ila usihofu ipo siku utaujua huo uchungu upoje!
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un.
U mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi
Hatuna budi kuwashukuru wote waliojitokeza na kuchangia kwa hali na mali na pia wale walikuwa na familia kifikra wakati wa shughuli za msiba Dar es Salaam kabla ya kusafirisha kuelekea katika nyumba ya mapumziko ya milele.
=================================================================
Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Zitto Kabwe, (Wakwanza kushoto), baba yake mzazi Zuberi Kabwe (Wakwanza kulia) na waombolezaji wengine, wakiomba dua kwenye msikiti wa Maamur Upanga jijini Dar es Salaam huku picha ya chini, waombolezaji wakiingiza kwenye gari jeneza lenye mwili wa Saida Salum, mama mzazi wa Zitto tayari kuelekea uwanja wa ndege.
Wakazi wa jiji wakiingiza mwili wa Mama mzazi wa Zito Kabwe Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Shida Salumu)katika gari tayari kwa Safari ya kuelekea Kigoma mara baada ya kuswaliwa katika msikiti wa Maamul jijini Dar es Salaam jana.Marehemu anatarajiwa kuzikwa mjini kigoma
Mbunge wa Musuma Vijijini Nimrod Mkono (kulia) na Mbunge wa Bunda Stephen Wasira (kushoto) wakifariji Mbunge wa Kigoma Kaskazini,Zito Kabwe kwa kufiwa na Mama yake Mzazi.
Picha chini zinaonyesha baadhi ya waombolezaji waliohudhuria swala ya kuswalia Marehemu Shida Salum, Mama yake Zitto Kabwe.
Zitto kabwe akiwa na Prof Ibrahimu Lipumba wakati wa kuuaga Mwili wa mama yake kipenzi Bi Shida Salumu kabla ya kusafirishwa kwenda Kigoma kwa mazishi.
Ndege Ikiandaliwa Ili kuweza Kuingiza Mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe.
Kardinali Polycarp Pengo akiwa na Rais wa TASWA, Juma Pinto akiwa VIP JKN Airport walipokutana wakati wa kuaga mwili wa Mama yake Zitto Kabwe,
Waheshimiwa Wabunge na Baadhi ya Viongozi wakibeba Jeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe, Bi Shida Salum kuingiza kwenye ndege tayari kwa safari ya kwenda Kigoma Kwenye mazishi
Prof Ibrahimu Lipumba akijadili jambo na mwezie baada ya kupakia mwili wa marehemu kwenye ndege kuelekea kigoma Kwenye maziko
Leo watu wameamka na mning'inio wa ziada mkuu wewe waache tu.
nilipitapita kwenye mitandao, tv, magazeti, nigundua kuwa vyombo vingi vya habari zenye mlengo wa ccm wanatoa sana habari za zito.Hi ni nadra sana kukuta habari za wapinzani kwenye hivi vyombo. Hii inaonyesha jamaa sio mpinzani.nenda kwenye blog ya ccm millad ayo michuzi nk utathibitisha hilo