Sad day indeed, Mungu ailaze roho ya Marehemu pema peponi. Mungu awape faraja wakati huu mgumu wa simanzi na mshtuko mkubwa.
Mkuu kuna nyuzi kibao zimeanzishwa kuhusu suala hili.....katoe pole kule na ufute uzi wako
Ngoja tuendelee kuelimisha!
Ndugu iko hivi,taarifa hiyo kifo imeshaletwa hapa jukwaani kwahiyo wewe ilikubidi kuutafuta huo uzi ukatoe pole zako kule na sio kuanzisia uzi mahsusi kwa ajili yako tu ya kutoa pole.
Au unataka michango gani kwenye huu uzi wako.
Rekebisha hiyo,leo nimekuelimisha kesho nitakutukana.
Sio maneno yako haya.kuna mtu ame hack account yakoMwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape nguvu na faraja wafiwa katika kipindi hiki kigumu kwao.