Tanzia: Mama Hawa Ngulume afariki dunia!

Dah! Mkuu kumbe nawe ni mmoja wa kipindi kile cha "Introduction to third phase cost sharing". Nakumbuka ilikuwa kivumbi pale magomeni.

hakika, Mungu amsamehe huyu mama. Nakumbuka wakati wa kujaza form za mikopo pale magomeni alimtandika vibao dada moja alikuwa akisoma UDSM hali ambayo ulizusha mtafaruku mkubwa na wazazi wa yule binti. Ilibidi vijana tuandamane mpaka kwa Makamba Boma hili kupata msaada. Mama alikuwa anatisha ile mbaya utafikiri MUNGU mtu. Alipokwenda kule Mbarali mambo nako yakawa balaa kwa wafugaji. Kwa kweli, mola wetu mwenye rehema na upendo mwingi Msamehe tu. Nijuavyo mimi mateso ya kansa ni makubwa sana, hayo tu mola yanatosha, mrehemu huyu mama
 
Dah! Mkuu kumbe nawe ni mmoja wa kipindi kile cha "Introduction to third phase cost sharing". Nakumbuka ilikuwa kivumbi pale magomeni.

Ilibidi niende Ilala kwa ajili ya signature japo mimi ni mkazi wa kinondoni. jamaa wa Ilala alikuwa poa sana - Sikumbuki kama ni B. Konisaga
 
Konisaga wa Nyamagana ajifunze. RIP Hawa.

Nitoe pole kwa familia ya Marehemu Mama Hawa Ngulume.
Huyu Konisaga kama nakumbuka vizuri nilikwenda kwake kusainisha "loan form" wakati huo akiwa DC Temeke alikuwa nunda kweli kweli, huo mkwara aliokuwa anatuchimba kama mtu una roho nyepesi unakimbia. Wakati huo salamu kutoka kinondoni zilikuwa zinatisha.
 
R. I. P Mama Hawa Ngulume ofisa wa zamani wa Tanzania Audit C operation, mjumbe wa Baraza la Michezo Taifa, Mbunge viti maalum, mwanachama wa Simba Sports Club
 
Binafsi namkumbuka mama huyu mwanzoni mwa miaka ya 2000 nikiwa UDSM na yeye akiwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwenye issue ya kusainiwa form za mikopo alipopiga marufuku wanafunzi wasiokuwa wazawa wa DSM kusainiwa form zao Kinondoni. Alipata wakati mgumu pale makamu wa Raisi Mh Dr Sheni alipofanya ziara pale mlimani na yeye mama ngurume kama Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni na kwamba UDSM ambayo iko ndani ya Kinondoni, ilibidi aambatane na Mh Dr Shein kama mwenyeji wake. Katika ziara hiyo Dr Sheni alipata fursa ya kufanya kikao Nkurumah na pale ambapo MC alipokuwa akitambulisha wageni, kila lilipotajwa jina la Ngurume wanafufunzi walizomea hadharani bila hata ya kuona haya mbele ya Dr Sheni......... Hata hivyo RIP Mama Ngurume!
Dah! Mkuu kumbe nawe ni mmoja wa kipindi kile cha "Introduction to third phase cost sharing". Nakumbuka ilikuwa kivumbi pale magomeni.
 
hakika, Mungu amsamehe huyu mama. Nakumbuka wakati wa kujaza form za mikopo pale magomeni alimtandika vibao dada moja alikuwa akisoma UDSM hali ambayo ulizusha mtafaruku mkubwa na wazazi wa yule binti. Ilibidi vijana tuandamane mpaka kwa Makamba Boma hili kupata msaada. Mama alikuwa anatisha ile mbaya utafikiri MUNGU mtu. Alipokwenda kule Mbarali mambo nako yakawa balaa kwa wafugaji. Kwa kweli, mola wetu mwenye rehema na upendo mwingi Msamehe tu. Nijuavyo mimi mateso ya kansa ni makubwa sana, hayo tu mola yanatosha, mrehemu huyu mama

Huyo alikuwa Halima Mdee
 
Mungu amrehemu

Hivi ndio huyu kuna kipindi walimgombea Malecela yeye na mama Kilango?

Wewe vipi mbona unachanganya madawa, huyu marehemu sio yule askari polisi Tatu Ntimizi!! R.I.P. afande wangu wa National SERVICE; SALAAM KWA BEST WAKO KAMANDA DITO UKIWAONA WA MZUZURI!!
 
Nitoe pole kwa familia ya Marehemu Mama Hawa Ngulume.
Huyu Konisaga kama nakumbuka vizuri nilikwenda kwake kusainisha "loan form" wakati huo akiwa DC Temeke alikuwa nunda kweli kweli, huo mkwara aliokuwa anatuchimba kama mtu una roho nyepesi unakimbia. Wakati huo salamu kutoka kinondoni zilikuwa zinatisha.

Mkuu Mwita
Vipi umeshalipa Loan yako!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Poleni wafiwa, ndugu, jamaa, marafiki na majirani wake wote. Wote tulitoka na Kwake tutarejea. Amen
Simjui huyu mama, lakini nilisoma habari zake akilalamika serikali ya ccm ilivyomtupa. Sasa amekufa, utamwona Raisi wa misiba, kwenda kutoa rambirambi na kusumbua wananchi kwa ujio wake.
 
Halima Mdee anajua shughuli ya huyu Mama...enzi hizo aliwahi mtandika kofi Mdee mpaka akaona nyotanyota,alikuwa mbabe sana!ila wafugaji wa Bonde la Ìhefu na ardi oevu wa Mbalali wanajua kazi yake,alikuwa anawachapa Wasukuma fimbo za ****** mpaka wakahamia Mtwara bila kupenda
Huyu ni mmoja wa waanzilishi wa matembezi ya Mshikamano ya CCM na kina M. S. Malinda miaka ya 1991 na Ofisi ndogo ya CCM wanamtambua (wakati Huo Lowassa na Kikwete ndio wapo UVCCM) alivyowachachafya kuhusu fungu hilo, ndio akapanda kuwa Mkuu wa Wilaya
Hakuna alikopita bila kuacha mshikemshike hata Kondoa alisaidia traffic kuwashusha madereva wakorofi pale darajani kabla hujaingia mjini Kondoa
RIP Hawa Ngulume tuanakukumbuka ingawa Serikali ilikusahau mpaka vyombo vya habari vilipowashtua
 
Back
Top Bottom