RIP Mama Hawa Ngulume.
Sasa sijui leo Serikali wataenda katika msiba wake. Kwani walimtelekeza pasipo msaada wowote huyu mama, Yaani mafisadi wanafikiria pesa tu na siyo kuwahudumia Watanzania. Alishatoka katika Gazeti analalamika Serikali imemtelekeza akiwa anaumwa lakini kipindi kile walimtumia sana na tena alikuwa mbabe sana huyu mama, na kwa kutetea sheria walizoweka waliomtelekeza.
Namkumbuka akiwa mkuu wa Wilaya Bagamoyo alivyowachapa mangumi ya kiuhakika madereva na makonda wa mabasi ya Bagamoyo - Mwenge
Rest In Peace mama yetu.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!