Tanzia: Kocha Sylvester Marsh hatuko nae tena

Bwana alitoa na Bwana ametwaa..Jina lake lihimidiwe milele, Amina
 
Poleni sana ndugu wafiwa. Apumzike kwa amni.
 
Dah! poleni familia kwa kupoteza nguzo muhimu, Mash mi nilikuwa nakukubali sana, Mungu akupumzishe kwa Amani.
 
Oooh so sad. Ndie aliyebadili soka la Tanzania kupitia timu ya vijana Serengeti boys/ Ngorongoro, one of the two. Poleni wafiwa jamani.
 
RIP Kocha Sylvester,
Poleni wafiwa wote, Mungu awape faraja ktk kipindi hiki kigumu!
 
Daaaah. Marsh miaka ya nyuma sana tulikuwa naye chuo cha uhazili tabora. Darasani alikuwa mwanaume pekee yake. Mkuu wa chuo akiwa ni mama msemakweli. Silvester alikuwa mtaratibu sana.

Pumzika Rafiki.
 
Pole wafiwa, mola amlaze panopostahili....
 
pumzika kwa amani mwalimu poleni sana familia.
 
very sad news; but anyway no way. R.I.P Silvester Marsh
 
R I P legendary, Sylvester Marsh. You'll be missed Coach.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…