Tanzia: Kocha Sylvester Marsh hatuko nae tena

Tanzia: Kocha Sylvester Marsh hatuko nae tena

Huyu jamaa c alioa mku wa wilaya!! Alikuwa jembe sn yani.R I P
 
Alale pema peponi mwenye wimbo wa daz nundaz auwe.hapa kwa ajili ya marsh
 
Huyu jamaa c alioa mku wa wilaya!! Alikuwa jembe sn yani.R I P

pole sana mkuu ila sikulaumu kwani Mkwasa na Marsh wanafanana fulani hivi kwa mbaaali ila Mkwasa ni mng'avu sana na mashavu ya burger!.
 
Inauma,wakat anafundsha stars nlikuwa naenda kuona mazoez,sio sifa za marehem ila alikuwa anaongea kwa utaratibu,simjuh zaid ila najua nlikuwa namheshm sana na sikuwah kuhoj umahr wake..r.i.p brother
 
Poleni wafiwa na tasnia yote ya wapenda michezo Tanzania. R.I.P. Marsh.
 
Bwana ametoa, Bwana ametwaa. jina la Bwana lihimidiwe.

Umeondoka na upole wako, na huruma zako, na busara zako.

Wafiwa mungu awape nguvu.
 
Dah, alikua ni mmoja kati ya makocha wazawa ninaowakubali sana.R.I.P Marsh!
 
Bwana ametoa, Bwana ametwaa. jina la Bwana lihimidiwe.

Umeondoka na upole wako, na huruma zako, na busara zako.

Wafiwa mungu awape nguvu.
ukimuona tu usoni Marsh alikuwa mpole mtaratib na mkimya. Rest in peace
 
R.I.P Sylvester Marsh!

Mchango wako kwa kuendeleza soka la vijana Tz hauta sahaulika kamwe
 
Rip brother Marsh. Dah jamaa mpole na mtaratibu sana... very professional.... alikuwa mdau mkubwa kusaidia vijana...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom