Habari za mchana huu,nipo kwenye viwanja vya shule ya msingi Mirongo this tyme kumuaga shujaa wa soka kwa mkoa wa Mwanza na aliyekuwa kocha msaidizi wa taifa stars Mr Marsh,kiukweli watu wamejitokeza na ukisikia salam za watu walokuwa wanamfahamu kiukweli tumepoteza mdau muhimu wa soka hapa nchini...lakini cha kujiuliza tulistahili kumuaga kwa jinsi hii...........