TANZIA: Katibu wa CCM Ilala afariki Dunia

TANZIA: Katibu wa CCM Ilala afariki Dunia

JAMAN ALISEMA KWEL AU MNAMPAKAZIA MAREHEM WA WATU? MM UKAWA LAKIN KAMA ALISEMA DUUUUUU KWEL KIBURI CHA UZIMA NIKIBAYA MNOOOO ILA KIBOKO YAKE NI NGUVU YA MAUTI!!!!!!!!RIP amina
 
Ulimi jmn ulimi kiungo hatari sana. Ukishatamka halirudi tena kinywani. Ndani ya wiki moja tunapata misiba ya viongozi 2 wa CCM ambao waliropoka kuhusu afya ya mtz mwenzetu EL MAFURIKO!! Wako wapi sasa? Mambo yanatendeka kwa mipango ya Mungu na tusisahau ajuaye ni Mungu mwenyewe kwa mxima kuwa mfu au mgonjwa kuwa salama. Kuugua sio kufa na msikatishe watu tamaa
 
Mungu ni mkubwa sana yule mgu..mmmb...baaa ajifunze kutoka hapo
 
Poleni, kazi ya Mungu binadamu ni ngumu kuipinga
 
L.I.H - liv in hell gamba! Mnaona mnavyopukutika eeh! Uzima wenu ni upi sasa? Hata huyo mpiga push up anaweza zimika mda wowote tukasogezewa uchaguz bure! Mkome kiwasema wenzenu kuwa ni wagonjwa wakat nyie sio madaktar wake! Naomba nikiamka salama kesho nikuta na kamusuma kamevuta
 
Na tabia ya kudhihaki wapinzani wenu kisiasa hata kama hamuwapendi mkome magamba. Kwani nyie wazima? Na aliyewaambbia kuugua ni tiketi ya kifo nani? Mnampangia Mungu mambo ya kufanya?!
 
Poleni sana ,sote tutapitia njia hii, juzi kwenye kampeni za magufuli!,mwenyekiti wa ccm mkoa wa geita bwana msukuma alitoa maneno mabaya kwamba, lowassa iko gonjwa......Eelewe kwamba ,kuugua sio kufa.
 
R.I.P Ernest! Poleni, ndugu, jamaa na marafiki kwa msiba huu
 
Muhimu kufanya maandalizi kabla ya kifo kwani bada ya kifo no hukumu.
 
Back
Top Bottom