TANZIA: Katibu wa CCM Ilala afariki Dunia

TANZIA: Katibu wa CCM Ilala afariki Dunia

Tumwogope Mungu kwani mauti na uzima ni mikononi mwake ..
 
Mungu naomba msamaha in advance.
najua el ni mgonjwa kama walivyo wengine na sisi pia.
ila naomba wale wote waliochukua suala la ugonjwa na kuweka siasa za majukwaani walipwe hapa hapa duniani!!
Ameen!!
 
Wale wangonjwa alikuwa anawasema wamebakia wanaondoka wasioumwa ,rip
 
Duh acha afe tu

ndio tayar ameshakufa mkuu. Ila tambua kuanzia sasa hesabu yake ya kufa haipo tena ila imebaki kwetu.

Na tumshukur Mungu tufe kifo chema ila isije ikafika ile hatua ya kukimbiwa na kifo. Nafsi inataka ife lakn kifo kinakimbia
 
Poleni sana watani wetu ccm, P.I.P. katibu. Mungu ndiye anaamua mgojwa kuwa hai na mzima kufariki
 
Dah Mambo ya mungu ni mazito sn. ccm hizi kauli zenu za kuwabeza wengine kuwa ni wagonjwa imekuwa laana juu ya vichwa vyenu.
 
Na bado,,,,wataendelea kupukutika kwa kiburi chao,wanadhani kuna mtu anapenda kuwa mgonjwaa,,,poa Mungu awashughulikie tu....
 
R.I.P kaka mbele yako nyuma yetu umemfuata mama ukimwacha mzee chale ktk wakati mgumu sana. mwanao seba na wadogo zake watakulilia sana.

Hivi ni mbele yako nyuma yetu? Au mbele yetu nyuma yako?
 
Back
Top Bottom