Kuwa ccm na uwe unajipemdekeza kwa wakubwa, tukana wazee hasa wale wenye mitazamo tofauti na wana ccm. Uwe mwonezi wa wapinzani utaula zaidi ya hiyo mkuuHiyo nafasi yake naitaka, nitaipataje?
Kifupi no kwamba alikuwa Messenger wa Cabinet au Ikulu.Mungu amlaze pema peponi.
Marehemu SIO Katibu wa baraza la Mawaziri. By law, Katibu wa cabinet ni Katibu Mkuu Kiongozi.
Huyu, for all we know, alikuwa hana cha mno cha kufanya zaidi ya kuleta, kuzisubiri na kuzirudisha Biblia na Kuruani takatifu za kuapishia watu, which of course is a full time job in and of itself. Nusu ya muda Rais wa Tanzania ni kufanya na kutengua teuzi.
Yeye ni mhandishi na mratibu wa vikao vy baraza la mawaziriKifupi no kwamba alikuwa Messenger wa Cabinet au Ikulu.
State Agent simply to say
Kwa Mujibu wa sheria mwandishi wa Vikao vya Cabinet unamfahamu?Yeye ni mhandishi na mratibu wa vikao vy baraza la mawaziri
Yeye ni mhandishi na mratibu wa vikao vy baraza la mawaziri
Pombe sidhani kama atakuwepo, si mhudhuriaji wa mambo hayo kiviiiile!Kesho ' Wakazi ' wa ' Mbags ' mjiandae ' Kisaikolojia ' kwani kutakuwa na ' Bonge ' la foleni kwani kuna uwezekano mkubwa ' Taita ' wa ' Kisukuma ' akawepo amesharudi kusalimia Ndugu na Jamaa huko Geita na Mwanza.
Aisee umei-underate kazi ya marehemu but shukran ndio realityMungu amlaze pema peponi.
Marehemu SIO Katibu wa baraza la Mawaziri. By law, Katibu wa cabinet ni Katibu Mkuu Kiongozi.
Huyu, for all we know, alikuwa hana cha mno cha kufanya zaidi ya kuleta, kuzisubiri na kuzirudisha Biblia na Kuruani takatifu za kuapishia watu, which of course is a full time job in and of itself. Nusu ya muda Rais wa Tanzania ni kufanya na kutengua teuzi.
Wabongo wachokozi sana ....hawawezi pita kimya ....bila vijimanenoMkumbusheni huyo Sizonje kuwa safari ni moja