Tanzia: Kada wa CHADEMA afariki dunia

Tanzia: Kada wa CHADEMA afariki dunia

Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Sikonge ndg. Mfamao ameaga dunia jana usiku wa kuamkia leo kwa maradhi ya ghafla.

Bwana alitoa na bwana ametwaa,jina lake lihimidiwe ..amina!

Siku za kuishi duniani zimehesabiwa na Mungu mwenyewe na wala hakuna awezaye kuzuia roho ya mtu isitoke. Namwomba Mungu awafariji wafiwa.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Siku za kuishi duniani zimehesabiwa na Mungu mwenyewe na wala hakuna awezaye kuzuia roho ya mtu isitoke. Namwomba Mungu awafariji wafiwa.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

uko sahihi mkuu kamanda ameacha huzuni katika hiki kipindi kizito cha kulikomboa taifa letu ..tuliobaki tuzidi kuombeana uzima daima.
 
Wasijesababbisha tena maraia kupigwa mabomu, mazishi yafanyike kwa kufuata taratibu na kanuni bila kuvunja sheria za nchi. CDM wanatabia ya kuwa above the law ---- kama ilivo movie ya above the law ila CDM wancheza live movie na ya ukweli hadi watu wanakufa kikwelii
 
Mungu ampumzishe mahali pa juu palipo inuka.
RIP
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Sikonge ndg. Mfamao ameaga dunia jana usiku wa kuamkia leo kwa maradhi ya ghafla.

Bwana alitoa na bwana ametwaa,jina lake lihimidiwe ..amina!
Rip Kamanda ,
Umefariki wakati mchango wako bado unahitajika
 
Aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya Sikonge ndg. Mfamao ameaga dunia jana usiku wa kuamkia leo kwa maradhi ya ghafla.

Bwana alitoa na bwana ametwaa,jina lake lihimidiwe ..amina!

Daaah mkuu ulikuwa unawahi usikute m2 mwingine amepost nini? Tafuta maneno mazuri ya kutoa taarifa ya tanzia mkuu hata hivyo tunashukuru kwa taarifa . R.I.P Mfamao
 
Back
Top Bottom