Mnyanyembe wa Mboka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 2,347
- 3,033
Binafsi nilikua na muheshimu pamoja na watanzania wengi ninao wafahamu ila kwa hili ni kiujua ukweli heshima yangu kwake itaishia leo rasmiKwamba Millard anaheshimika nchini Tanzania ni uongo , hayo mengine siyajui
Sent using Jamii Forums mobile app