Hamidu Bobali
New Member
- Mar 7, 2018
- 1
- 1
Idarous Yusuf Manzi diwani wa Kata ya Mvuleni jimbo la Mchinga kupitia chama cha Wananchi CUF, amefariki dunia leo tarehe 09/03/2019 Katika Hospital ya Hinud Madal Dar Es Salaam alipokuwa anapatiwa matibabu ya Kifua.
Mazishi yatafanyika kesho tarehe 10/03/2019 katika Makaburi ya Kijijini kwao Kijiweni Mchinga Lindi.
Mungu amuweke Mahali pema
Sent using Jamii Forums mobile app