Huyo makamba anajifanya mjuaji sana! Atakuwa kaenda kukodisha helikopta hizo bila kwenda na wataalam, Anakodisha helikopta hizo utafikiri Anakodisha chup za mke wke.
January ndy wa kulaaumiwa
Na mimi nimepata hizi habari kwenye whatsapp group,sasa sijui kama ni kweli,Ukweli utajulikana tu
Naam, kama waliweza kujenga shule kila kata, madawati yanawashinda nini? Fikiri.
Si kila kitu kungja kufanyiwa kama maiti.
Njoo kijijini kwetu ujionee, hakuna mwanafunzi asiye na dawati na kiti na hakuna chumba kimoja cha darasa kusoma zaidi ya watoto 45. Na hatukungoja Serikali, Serikali inatuletea walimu tu na kila Mwalim akija hataki kuondoka kwani tunampa eka mbili za kulima na tunamsaidia kulima, kupalilia na kuvuna na faida ni yake.
Hakuna Mwalimu asiye na nyumba ya kuishi kijijini kwetu na samani zote za ndani tunamchangia.
Lakini zote zina "inventory" anakabidhiwa rasmi ni mali ya kijiji na akiondoka anawacha vyote anaondoka na yake tu. Shamba ni lake lakini ardhi ni ya kijiji ili asiuze.
Hatungoji serikali, sisi siyo maiti.
Jimbo la ludewa limepata wabunge Watano t uhuru, na wanne wamefariki wakiwa wabunge, mama baraka, kihaule, Crispin haule n horace kolimba, aliyehai ni stanley kolimba tuunawapa pole sana wana Ludewa...ameanza Mchungaji Christopher Mtikila kutoka Kijiji Cha Milo....na sasa ni Deo Filikunjombe kutoka mitaa ya Mlangali ni juma baya sana kwa wana Kusini kwani hata Profesa Bangu wa Tumaini Iringa nae hatunae.. kwa wale wanaomfahamu au walisoma Tumaini University IringaKazi ya Mungu haina makosa
Ni jambo gani?
Naam, kama waliweza kujenga shule kila kata, madawati yanawashinda nini? Fikiri.
Si kila kitu kungja kufanyiwa kama maiti.
Njoo kijijini kwetu ujionee, hakuna mwanafunzi asiye na dawati na kiti na hakuna chumba kimoja cha darasa kusoma zaidi ya watoto 45. Na hatukungoja Serikali, Serikali inatuletea walimu tu na kila Mwalim akija hataki kuondoka kwani tunampa eka mbili za kulima na tunamsaidia kulima, kupalilia na kuvuna na faida ni yake.
Hakuna Mwalimu asiye na nyumba ya kuishi kijijini kwetu na samani zote za ndani tunamchangia.
Lakini zote zina "inventory" anakabidhiwa rasmi ni mali ya kijiji na akiondoka anawacha vyote anaondoka na yake tu. Shamba ni lake lakini ardhi ni ya kijiji ili asiuze.
Hatungoji serikali, sisi siyo maiti.
tena uzushi unaendqa mbali kuwa kafarikiKwamba kuna mgombea mwingine kapata ajali ni mtoto wa aliekua waziri, may be ni uzushi kama ni Kweli itathibitishwa tutajua
YAFAA TUMLAUMU ALIYEZIKODI CHOPA?.
kuigaiga kumeigharimu nchi sasa!.
Inauma saana kumpoteza mpiganaji kama deo,mungu ailaze roho ya marehemu wote mahali pema peponi.
AMEN!.
UKAWA baada ya kushindwa SIASA na kuzisoma namba kuwa IKULU imeponyoka wameanza kuzusha habari za uongo na kutishia watanzania...... Ni Kwa Sababu hii NDIO TUNAIRUDISHA MADARAKANI CCM tena Kwa KISHINDO!